Hivi majuzi nikiwa nchini Kenya nimeshughudia magari yote ya abiria yakiwa yamefungwa speed gavana. Speed ya mwisho gari kutembea ni 80. Sasa Tanzania inaonyesha mwisho wa speed ni zote ambazo gari inazo. Hii inaonyesha ni kwa jinsi gani Serikali yetu isivyojali maisha ya Watu wake.
Leo hii Magari yamegongana huko Musoma na watu 36 wamepoteza maisha na wengine 79 kujeruhiwa. Cha ajabu Serikali haitachukua hatua yoyote kuhakikisha ajali zinapungua. Tunaomba Serikali iangalie tena huu usafirishaji wa abiria kwani watanzania wanaangamia na wataendelea kuangamia kama hatua sahili hazitachukuliwa. Mimi naishauri Serikali ifunge spidi Gavana kwa mabasi yote. Na kusuka upya Jeshi la polisi (Trafic) kwani wengi wao wako Barabarani kwa ajili ya kula rushwa. Serikali ikifanya hivyo tunaweza kupunguza ajli za Barabarani.
Mungu Atusaidie sana.
Leo hii Magari yamegongana huko Musoma na watu 36 wamepoteza maisha na wengine 79 kujeruhiwa. Cha ajabu Serikali haitachukua hatua yoyote kuhakikisha ajali zinapungua. Tunaomba Serikali iangalie tena huu usafirishaji wa abiria kwani watanzania wanaangamia na wataendelea kuangamia kama hatua sahili hazitachukuliwa. Mimi naishauri Serikali ifunge spidi Gavana kwa mabasi yote. Na kusuka upya Jeshi la polisi (Trafic) kwani wengi wao wako Barabarani kwa ajili ya kula rushwa. Serikali ikifanya hivyo tunaweza kupunguza ajli za Barabarani.
Mungu Atusaidie sana.