Serikali acheni kujifanya hamtuoni wahitimu, tupeni ajira, hali ni mbaya mtaani

Oct 8, 2020
46
98
hizi siasa za kutuaminisha eti mnakopa ma trioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kujifanya hamuoni hali zetu sisi tuliozingatia kitabu kama mlivyotuagiza ni uzandiki mtupu.

Leo hii tunaonekana kama mizigo kwa wazazi na ndugu nyie mko bize kulumbana kisa uchu wa madaraka, tunakoelekea tutakuwa tukikutana na viongozi tunapiga mawe mpaka kufa kama sheria za wayahudi wa zamani maana sheria mnazotunga zinawalinda wenyewe ili tusiwaguse, kuna faida gani kuendelea kuzalisha kundi la wasomi na kuwatelekeza.

Nchi ina gesi, madini, vivutio vya utalii, tozo, mikopo na misaada kibao, lakini wahitimu wanaachwa kana kwamba sio wale mnaowapa vipaumbele kwenye sera zenu wanapokuwa shuleni.

tufike mahali tuache kujisahau, fukuto la chuki mnalolijaza kwetu hakika halitawaacha salama.

"when I grow up I will carry a gun" remains my all time favourite line among the lines I have learned in school.

CCM is corrupt
CDM wana tamaa iliyokithiri ya uchu wa madaraka kiasi cha kulichukua fisadi eti wamelitakasa kuwawakilisha kwenye uchaguzi kisa lina upepo wa kisiasa
vyama vingine vya kisiasa, sio tu havina nguvu, vinatumika kama mitaji ya kisiasa kwa chama tawala.

Ndugu wahitimu, amkeni acheni kulia ndani ya moyo, wanatuambia tuigeuze elimu kuwa hela huku wao wakiwa wanategemea mishahara kupitia kodi zetu ni zaidi ya kututukana tena matusi ya nguoni.

kazi za wahitimu;
1)kuuza movie
2)kuuza liquid protector
3)kuuza pedi za kufua
4)kutumika madukani kwa ndugu na wazazi (wachache)
5)kujiuza (wanaita kudanga)
kuuza juice
6)kulima small scale agriculture kwa sababu ya mitaji midogo
7)wizi
na nyingine kibao ambazo hazina hadhi ya elimu waliyo nayo.

serikali ikitangaza ajira utasikia "awe na uzoefu kazini kianzia miaka miwili" kwa kazi gani mlizo tupatia? Hakika wanasiasa wametudharau sana ni wakati sasa wa kuwakataa na tamaa zao za kujifaidisha wao na koo zao.

"Mungu awatembelee mmoja baada ya mwingine, awafundishe kula kwa jasho kama watu wengine"_kwa sauti ya kala jeremiah.
20211229_090457.jpg
 
taaluma yangu haitakuwa na tija kwako ikiwa serikali haitaweka mfumo wa jumla wa kuwasaidia wahitimu ka ajili ya faida ya kizazi cha sasa na cha baadaye

#kada wa wahitimu
Sawa Endelea kutafuta ajira mtandaoni wenzako wanalima... Na maisha yanaendelea!

Tatizo Ni wewe mwenyewe! Usitegemee mfumo wa ajira ubadilishe maisha Yako!
Anza kwa ulichonacho, acha tabia ya kulalamika hovyo.

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Kamlaumu mwehu jiwe.
Mtuachie mama yetu Samia kipenzi.
Samia katoa ajira , katupandisha vyeo maaskari na watumishi ndani ya miezi 3 -6 tu ya utumishi wake. Huku Magufuli ndani ya miezi zaidi ya 60 alikuwa akitujibu ushetani tu kila tunapolilia haki zetu.
 
Sawa Endelea kutafuta ajira mtandaoni wenzako wanalima... Na maisha yanaendelea!

Tatizo Ni wewe mwenyewe! Usitegemee mfumo wa ajira ubadilishe maisha Yako!
Anza kwa ulichonacho, acha tabia ya kulalamika hovyo.

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
watu wa aina yako ni laana kwa taifa. ulichokiandika kila muhitimu anakijua.
uelewa wako duni unakufanya ushindwe kuelewa kuwa mfumo uliopo wa elimu unamuandaa mwanafunzi kuajiriwa,
kama ni kutafuta maisha nje ya ajira hata waajiriwa wanafanya hivyo matokeo yanazidi kuwa si rafiki kwa huyu muhitimu ambaye anakosa msingi wa kumuwezesha kusimama kiuchumi dhidi ya walio kwenye ajira.

mfumo wamegoma kuubadilisha ili umuwezeshe mwanafunzi kuitumikia vyema taaluma yake awapo mtaani, ajira pia wamegoma kutoa.

andiko langu halina sehemu inayoonyesha kuomba ajira mtandaoni, kupitia majibu yako naona wewe uozo mtupu
 
Kamlaumu mwehu jiwe.
Mtuachie mama yetu Samia kipenzi.
Samia katoa ajira , katupandisha vyeo maaskari na watumishi ndani ya miezi 3 -6 tu ya utumishi wake. Huku Magufuli ndani ya miezi zaidi ya 60 alikuwa akitujibu ushetani tu kila tunapolilia haki zetu.
high level of stupidity is manifested in your comment
 
Kamlaumu mwehu jiwe.
Mtuachie mama yetu Samia kipenzi.
Samia katoa ajira , katupandisha vyeo maaskari na watumishi ndani ya miezi 3 -6 tu ya utumishi wake. Huku Magufuli ndani ya miezi zaidi ya 60 alikuwa akitujibu ushetani tu kila tunapolilia haki zetu.
Kapime sidhani kama unajielewa
 
hizi siasa za kutuaminisha eti mnakopa ma trioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kujifanya hamuoni hali zetu sisi tuliozingatia kitabu kama mlivyotuagiza ni uzandiki mtupu.

Leo hii tunaonekana kama mizigo kwa wazazi na ndugu nyie mko bize kulumbana kisa uchu wa madaraka, tunakoelekea tutakuwa tukikutana na viongozi tunapiga mawe mpaka kufa kama sheria za wayahudi wa zamani maana sheria mnazotunga zinawalinda wenyewe ili tusiwaguse, kuna faida gani kuendelea kuzalisha kundi la wasomi na kuwatelekeza.

Nchi ina gesi, madini, vivutio vya utalii, tozo, mikopo na misaada kibao, lakini wahitimu wanaachwa kana kwamba sio wale mnaowapa vipaumbele kwenye sera zenu wanapokuwa shuleni.

tufike mahali tuache kujisahau, fukuto la chuki mnalolijaza kwetu hakika halitawaacha salama.

"when I grow up I will carry a gun" remains my all time favourite line among the lines I have learned in school.

CCM is corrupt
CDM wana tamaa iliyokithiri ya uchu wa madaraka kiasi cha kulichukua fisadi eti wamelitakasa kuwawakilisha kwenye uchaguzi kisa lina upepo wa kisiasa
vyama vingine vya kisiasa, sio tu havina nguvu, vinatumika kama mitaji ya kisiasa kwa chama tawala.

Ndugu wahitimu, amkeni acheni kulia ndani ya moyo, wanatuambia tuigeuze elimu kuwa hela huku wao wakiwa wanategemea mishahara kupitia kodi zetu ni zaidi ya kututukana tena matusi ya nguoni.

kazi za wahitimu;
1)kuuza movie
2)kuuza liquid protector
3)kuuza pedi za kufua
4)kutumika madukani kwa ndugu na wazazi (wachache)
5)kujiuza (wanaita kudanga)
kuuza juice
6)kulima small scale agriculture kwa sababu ya mitaji midogo
7)wizi
na nyingine kibao ambazo hazina hadhi ya elimu waliyo nayo.

serikali ikitangaza ajira utasikia "awe na uzoefu kazini kianzia miaka miwili" kwa kazi gani mlizo tupatia? Hakika wanasiasa wametudharau sana ni wakati sasa wa kuwakataa na tamaa zao za kujifaidisha wao na koo zao.

"Mungu awatembelee mmoja baada ya mwingine, awafundishe kula kwa jasho kama watu wengine"_kwa sauti ya kala jeremiah.View attachment 2061370
Huyu boya anamfosi mbwa ale nyanya nimecheka sana😅😅😅!!!

Dah kuhusu mada na life liko live kweli, kuna haja ya mapinduzi ya kiutawala kufanyika sasa. Pioneers wawe wahitimu walioko kitaa ikibidi waunde chama cha siasa tu kipya ambacho hakina affiliations zozote na CCM ili katiba ikiunda i relate na hali za maisha za raia wa kitaa kwa ukaribu.

Madaraka yawe yanaelekeza serikali kuboresha welfare ya wananchi katika kila senti wanayopata yani na circulation ya kodi iwe at par na hali ya uchumi! Sio tunahubiriwa uchumi umekuwa wakati 80% ya vijana waliotakiwa kuwa kwenye uzalishaji ni majobless ama wanaparangana mtaani bila shughuli rasmi.

Kwa hali ilivyo sasa hata kuoa ni kipengele imagine unafika 30+ yrs huna kazi, huna mbele wala nyuma utaoa vipi?
 
Huyu boya anamfosi mbwa ale nyanya nimecheka sana😅😅😅!!!

Dah kuhusu mada na life liko live kweli, kuna haja ya mapinduzi ya kiutawala kufanyika sasa. Pioneers wawe wahitimu walioko kitaa ikibidi waunde chama cha siasa tu kipya ambacho hakina affiliations zozote na CCM ili katiba ikiunda i relate na hali za maisha za raia wa kitaa kwa ukaribu.

Madaraka yawe yanaelekeza serikali kuboresha welfare ya wananchi katika kila senti wanayopata yani na circulation ya kodi iwe at par na hali ya uchumi! Sio tunahubiriwa uchumi umekuwa wakati 80% ya vijana waliotakiwa kuwa kwenye uzalishaji ni majobless ama wanaparangana mtaani bila shughuli rasmi.

Kwa hali ilivyo sasa hata kuoa ni kipengele imagine una 30+ yrs huna mbele wala nyuma utaoa vipi?
100% sure,

umemalizia kipande kilichopungua kwenye andiko langu
 
I can feel what you're trying to address ,indeed for graduate with poor family background it is a great burden to uplift where you're ,just be patient for the time being and remember every human being is having a destiny .Most people went through the same situation but now they have seen the enlightenment .

Have a patient moment .

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom