leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 724
UtorrentSite zote nilizokuwa na download zimepigwa ban,mkuu site gani unayoijua ambayo bado inapiga kazu?
UtorrentSite zote nilizokuwa na download zimepigwa ban,mkuu site gani unayoijua ambayo bado inapiga kazu?
eztvSite zote nilizokuwa na download zimepigwa ban,mkuu site gani unayoijua ambayo bado inapiga kazu?
Nani ka kwambia site zote zimepigwa ban hebufungua hiiSite zote nilizokuwa na download zimepigwa ban,mkuu site gani unayoijua ambayo bado inapiga kazu?
Hivi iliendelea?Wakuu mpo?
Ebhana hiiii american odyssey ni balaa. Watching it now baada ya kuwa naiweka kapuni for so long
Kuna jamaa alisema tbetg alikuwa genius kuliko Michael as kwakuwa mipango ya Michael aliisoma bila wao kujua ingawa kundini walimtosa lakini jamaa alikuwa anatafuta njia wanakumbana nae tena.....ila ukicheck nikweli ingawa jamaa alikuwa anaudhi ukatili wakeT-berg namkubali sana yule jamaaa ni fighter kwelikweli
Thubutu yake... Waliicancel.Hivi iliendelea?
Hahaaa!Thubutu yake... Waliicancel.
Alipotwezwa walipokuwa wanatoroka kwenye gereza la sonaKuna jamaa alisema tbetg alikuwa genius kuliko Michael as kwakuwa mipango ya Michael aliisoma bila wao kujua ingawa kundini walimtosa lakini jamaa alikuwa anatafuta njia wanakumbana nae tena.....ila ukicheck nikweli ingawa jamaa alikuwa anaudhi ukatili wake
But pamoja na yaliyo mkuta .....alitumia kile kitabu kilicho dondoshwa mpaka kujua zile codes zilizo pelekea kuwa mbele yao .....siyo easy kwa mtu wa kawaida ku interpret au ku translate zile codeAlipotwezwa walipokuwa wanatoroka kwenye gereza la sona
Ndio hivyo. Ila Dada wa watu alikula msoto wa haja dooohHahaaa!
Cha moto tu alikiona aisee! Kaponea chupu chupu haswaaa! Kweli kama haijapangwa kufa haufi.Ndio hivyo. Ila Dada wa watu alikula msoto wa haja doooh
Yaani Kama haipo haipo tuuCha moto tu alikiona aisee! Kaponea chupu chupu haswaaa! Kweli kama haijapangwa kufa haufi.
Hicho chuma hakifai hata kidogo kuna wakati wapo utah akaitafuna ramani ya nyumba yenye mpunga kisha akawaambia kuanzia sasa mimi ndio ramani yenu Michael na Lincoln ikabidi wawe wapole pia alimtia bisibisi sucre akakimbia na mpunga achilia mbali alivyowaachia begi la vitabu akaondoka na mpunga.But pamoja na yaliyo mkuta .....alitumia kile kitabu kilicho dondoshwa mpaka kujua zile codes zilizo pelekea kuwa mbele yao .....siyo easy kwa mtu wa kawaida ku interpret au ku translate zile code
Umetazama banshee? Kuna kitu nataka kuuliza.Yaani Kama haipo haipo tuu
Haha Banashee ni nomaa kwa action na SexUmetazama banshee? Kuna kitu nataka kuuliza.
Yaani i wish ningejua mapema, imenitia aibu leo!Haha Banashee ni nomaa kwa action na Sex