Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,047
Hapo huwa nakereka sanaExactly, yaani 24 ilituharibu kweli now kila kitu cha kawaidaaa, ukijumlisha na huu ushoga wao ndio kabisaaa!
Hapo huwa nakereka sanaExactly, yaani 24 ilituharibu kweli now kila kitu cha kawaidaaa, ukijumlisha na huu ushoga wao ndio kabisaaa!
Mi nimeacha kabisa kuangalia hizi series za fbi, csi hawana kitu kipya cha ushawishiExactly, yaani 24 ilituharibu kweli now kila kitu cha kawaidaaa, ukijumlisha na huu ushoga wao ndio kabisaaa!
Mie nacheki nikikosa cha kuangalia, ila haziko tena interesting kwakweli.Mi nimeacha kabisa kuangalia hizi series za fbi, csi hawana kitu kipya cha ushawishi
Mie nacheki nikikosa cha kuangalia, ila haziko tena interesting kwakweli.
Nayo ni ya kiinteligensia?Nafikiri allegiance iko vizuri!
Kuna badland ni hatari umo ndan!!!!Wakuu nadhani sasa inabidi twende vizuri na latest series at least kuanzia mwaka 2014 to date, mfano tu mwaka 2015 kuna vitu vya moto hatari sana ambavyo nimeshavicheki,
1. Narcos
2. Blind spot
3. The player ni noma sana hozo, zote ni za 2015
Game of throne ipo adi season 5 ni balaaaaHivi THE ORIGINALS iliendelea au wameishia kati?
GAME OF THRONES imenipita sana duuh mpk King Jofrey kafa!!
EMPIRE thumb up!
Series za kizungu nimekua mvivu sana kuangalia I dont knw why,
Atleast movies.
Game of throne ipo adi season 5 ni balaaaa
shuveplus
Fanya ivo imeendelea vizuriNiliishia ssn 3,
Natafuta muda niendelee.
Brodie si alinyongwa au amefufuka maana mi baada ya ile episode ya Brodie kufa sikuona umuhim wa kuendelea kufuatilia HomelandYupo shabiki wa 'HOMELAND' humu wakuu? wakina Kerry Madson, Nic Brodie na my favourite Peter Quin.
Kweli pale story ya utangulizi wa homeland ilishaisha but ikaendelea na familia ya brody aikuonyeshwa tenaBrodie si alinyongwa au amefufuka maana mi baada ya ile episode ya Brodie kufa sikuona umuhim wa kuendelea kufuatilia Homeland
Bonge La series ilo mi niliishia season ya kwanzahow to get away with murder seaso 2 episode 10 imetoka jana.