Mambo vip
najitokeza kwenye page hii kwa mara ya kwanza .Mimi ni mwanaume wa kitanzania nina umri wa miaka 24 natafuta mchumba
Sifa zifuatazo
Umri :miaka 18-23
Mwenye hofu ya mungu
Mzuri :wastan
Urefu :saizi ya kati au full
rangi:maji ya kunde au mweupe
awe na mapenzi ya kwel
elimu kidato cha sita na zaid 4m 4 awe na kaz
hana skendo za ngono au kutoa mimba au kubakwa
abt me nimrefu ,white sio saana, mpole, kwa sasa ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja
najitokeza kwenye page hii kwa mara ya kwanza .Mimi ni mwanaume wa kitanzania nina umri wa miaka 24 natafuta mchumba
Sifa zifuatazo
Umri :miaka 18-23
Mwenye hofu ya mungu
Mzuri :wastan
Urefu :saizi ya kati au full
rangi:maji ya kunde au mweupe
awe na mapenzi ya kwel
elimu kidato cha sita na zaid 4m 4 awe na kaz
hana skendo za ngono au kutoa mimba au kubakwa
abt me nimrefu ,white sio saana, mpole, kwa sasa ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja