Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Nitaandika katika sentensi moja, kama utashindwa kuona hiyo MANTIKI basi huwezi ku pass hata course ya LLB 101.
Mantiki yake iko kwenye HAKI ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi.
The Oparating word here is HAKI. I rest my case.
Inawezekana kabisa kwamba you have a very high level of intelligence than I, ndio maana sikuelewi, ila nitaendelea kuwa wa kiwango hicho kwani vijisababu unavyotoa kwangu still they are very superficial na za kutumia tu loopholes za sheria, haki, ili kufanikisha malengo fulani fulani ya kisiasa; Vinginevyo kama wewe ni msomi kama unavyojidai, bila ya kupoteza muda ungeshatumia utaalam wako wa sheria to come up with a reasonable argument why the candidacy age should be harmonized with the voting age in our context; Lakini naamini wapo wengine humu ambao wataniokoa kutoka katika hali hii duni ya ubongo ili na mimi pia niwe mwelewa kama wewe; Vinginevyo tuombee uzima kushuhudia content ya katiba mpya in that regard itasema nini; Kila la kheri;