Ndugu wadau, ikiwa leo ni
maadhimisho ya mashumbulio ya kigaidi yanayofikirika kufanya na Osama,
naomba msaada mwenye kujua jina la kitabu kilichotolewa na mtanzania
aliyeelezea jinsi tukio la sept 11 lilivyopangwa!
kwa nini uliite la kufikirika wakati madhara yake yalionekana?
kidogo nikushukuru nikijua labda jina unalo! labda nikueleweshe! hili tukio ni event ilipangwa kwa maslahi yao binafsi!linafikirika kwani hakuna adui wa marekani anaitwa Osama, ni jinsi wao wenyewe walivyocheza na karata na kuaminisha dunia juu ya osama huku wao wakiwa na siri moyoni mwao!
ungekuwa na akili timamu usingeleta hiyo hoja au swali. Sisi watanzania (wa afrika) na mataifa mengi duniani tulikuwa hatumjui OSAMA. Wao WAMAREKANI wakaja wakasema wana adui yao anaitwa OSAMA na amejificha na wanamtafuta. Baadae wakasema wamemkamata PAKISTAN na wamemuua mbele ya mkewe na watoto na wakazika baharini .sasa wewe uko bongo na hayakuhusu bado unalalamika . WANGEJIULIZA SWALI HILO NI SAUD ARABIA AMBAKO NDIO KWAO . NA PAKISTAN ALIKOJICHA.
we kumbe kupe! hata mada huijui, siasa hujui, plan za wamarekani hujui basi umeingia kwenye group ya great thinkers unajiona na wewe great thinkers! anyway tupo hapa kuwasaidia, usa ni nchi inayoongoza kuratibu tukio kupitia mgongo wa mtu au nchi ikiwa inataka jambo fulani! uafrika wako sio hoja hata mimi ni mwafrika sema nafatilia haya mambo! usipende vya bure ka wauzaji kaka shughulisha kichwa upate information! KUNA USHAHIDI WA KUTOSHA SEPT 11 ITS CONSIPIRACY THING!
Ndugu wadau, ikiwa leo ni maadhimisho ya mashumbulio ya kigaidi yanayofikirika kufanya na Osama, naomba msaada mwenye kujua jina la kitabu kilichotolewa na mtanzania aliyeelezea jinsi tukio la sept 11 lilivyopangwa!
Wamefanikiwa sana wamarekani kuwashika wanadunia
maskio
una ushahidi wa kutosha na umesema upo hapa kuwasaidia watu kama kupe wakati reference humpi ili kudhibitisha unayosema mfano mzuri ni uzi wako umeutoa ukiomba kitabu cha mtanzania aliyeeleza jinsi tukio lilivyokuwa. Great thinker huwa anatoa nondo kwa reference na si kumshambulia kupe wakati wewe mwenyewe umekuja hapa kuomba reference kwa wadau
Hakuna adui anaitwa Osama kivipi wakati mwaka jana tumesikia ameuawa huko Pakistani? Halafu hao Al-Qaida aliokuwa akiwaongoza si ndio waliotupiga mwaka 98?
we naona unabadilisha mada! Mi namshambulia kupe?sio yeye amenishambulia?ama kweli nyie ndo watanzania halisi!soma comments za kupe! Then pitia maneno yako! Afu muungwana kama huna majibu ya kilichoombwa na fikiri ni busara kufunga page na kuendelea na mambo mengine!huwez jua kwanini natafuta hiki kitabu!anyway tunaeleweshana ndo maana ya conversation kama hizi!
Mwenye kujua please anisaidie!
Hakuna adui anaitwa Osama kivipi wakati mwaka jana tumesikia ameuawa huko Pakistani? Halafu hao Al-Qaida aliokuwa akiwaongoza si ndio waliotupiga mwaka 98?
ushahidi kuwa walimuuwa ukwapi??!!Hakuna adui anaitwa Osama kivipi wakati mwaka jana tumesikia ameuawa huko Pakistani? Halafu hao Al-Qaida aliokuwa akiwaongoza si ndio waliotupiga mwaka 98?
jiulize na wewe kwa nini marekani aliripua balozi zake dar es salam na nairobi na kuuwa raia wake na raia wa nchi hizo mbili kwa maslahi yake ya kisiasa na ya kiuchumi??!!ungekuwa na akili timamu usingeleta hiyo hoja au swali. Sisi watanzania (wa afrika) na mataifa mengi duniani tulikuwa hatumjui OSAMA. Wao WAMAREKANI wakaja wakasema wana adui yao anaitwa OSAMA na amejificha na wanamtafuta. Baadae wakasema wamemkamata PAKISTAN na wamemuua mbele ya mkewe na watoto na wakazika baharini .sasa wewe uko bongo na hayakuhusu bado unalalamika . WANGEJIULIZA SWALI HILO NI SAUD ARABIA AMBAKO NDIO KWAO . NA PAKISTAN ALIKOJICHA.