Ama kweli siasa za kitapeli na kupwaya kwa akili zetu kuujuwa ukweli ni kufilisika werevu ndani ya vichwa vyetu. Kila mpumbavu atazua lake na tukamfuata tukijivuna tunaelewa. Hakika wapumbuvu wataendelea kutupumbumbaza na kutuburuza kwa sababu kila tunachoambiwa tunaitikia kwa sauti kuu huu ndiyo ukweli.
Tuangalie tutaishia wapi na hili la Alkaeda - Osama na Wamerikani..........Who is who and why is who and for what was who?
Tuangalie tutaishia wapi na hili la Alkaeda - Osama na Wamerikani..........Who is who and why is who and for what was who?