Wale wote mliopata nafasi za kazi katika ukarani wa sensa ya watu na makazi Tanzania 2012 ni jukumu zito sana mlilopewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,hivo ni vema mkafanya kazi kwa bidii katika kuhakikisha zoezi hilo linakamilika kwa kiwango kizuri.Lakini pia ni jukumu letu sisi sote wananchi kujitokeza kwa wingi na kutoa taarifa zilizo sahihi kwa makarani wa sensa katika kufanikisha ufanisi wa zoezi zima.