Sisi wana mafunzo wa kata ya MBEZI,ambako kituo chetu cha mafunzo kipo SEKONDARI YA KIBAMBA,tangu tuanze mafunzo hatujapewa hata senti moja kila kitu tunajigharamia wenyewe,cha ajabu mpaka peni ya kuandikia unanunua mwenyewe,wengine sasa hali imekuwa ngumu darasani tunalala tu kwa ajili ya njaa,nauli ndio ya kuomba kila siku,hivi haya ni mafunzo ya sensa au mateso ya sensa.