Dom ni nouma,pale kwa mkuu wa wilaya kuna kitangazo kinasema majina bado hayajawa tayari na kwamba yatakuwa tayari baada ya siku chache,walibandika tangazo hilo ijumaa!!Duh,kwan semina zinaanza kesho?
Kuna baadhi ya Walimu wanadai majina yao hayatatoka kwa vile walikuwa ndani ya mgomo, naona hiyo ndio sababu ya kuchelewesha kuyabandika, kwani ule Waraka wa TAMISEMI umewashtua kila aliyejiandikisha kwenda kuhesabu Sensa
pwani wamechua walimu tuKwa taarifa kutoka kwa mtu aliyeko jikoni kutokana na mgomo wa walimu kutokea kwa hapa mkoani DODOMA. MKUU WA MKOA AAGIZA WALIMU WOTE WALIOSHIRIKI KUFUKUZWA KAZI MARA MOJA HII IMEPELEKEA ZOEZI LA SEMINA AMBAYO INGEFANYIKA TAREHE SITA(6) KUAHIRISHWA MPAKA TAREHE TISA(9) ILI KUSHUGHULIKIA KUWAENGUA WALIMU KATIKA ZOEZI HILO LA SENSA, INGAWAJE BAADHI YA VIONGOZI WENGINE WALIJARIBU KUPINGANA NA KAULI HIYO WAKIWEMO WAKUU WA WILAYA LAKINI MKUU HUYU WA MKOA AKASEMA HILO WAMUACHIE YEYE ATAWAJIBIKA NALO