Jaman,mwenzenu nimeanza mwaka vibaya,malaria imenishka hadi najihc kufa..niombeen kwa mungu nipone haraka.
Naona 2012 Tumeanza kwa mbwembwe kweli kweli!
Hivi kuugua Malaria, Tumbo la kuhara, and the likes is it something EVERYONE needs to know? Nadhani unapotafuta "sympathy" kwa kuugua inakuwa unajitafutia "kaburi"!
Acheni kuwa kama watoto under 5! To declare your illiness or any other ailment in public in dalili ya kukata tamaa!
Jaman,mwenzenu nimeanza mwaka vibaya,malaria imenishka hadi najihc kufa..niombeen kwa mungu nipone haraka.