Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Wakishakamatwa wafanyiwe utafiti ni kwanini wavamie sehemu hiyo. Yawezekana ni matatizo ya kijamii yamewasababisha kufanya vitu vya namna hiyo.
Hii serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ndo wawe proactive au unazungumzia nini? Wao shida ni kukamata watu nyang'anya pesa/simu zao waachiwe wengine na wengine mahakamani.