kapistrano
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,244
- 453
Habari wana jukwa la mahusiano nilichojifunza mimi napenda niwape na wenzangu kwani
Semina zinazotolewa kabla ya ndoa ni zaidi ya ndoa kwani wana ndoa wakizingatia seminar
Kabla ya ndoa na maana ya ndoa ni maagano kati ya watu wawili na swala la kupata watoto ni
Majariwa ktk maisha ya ndoa na kitu kingine cha kudumisha ndoa lazima wanandoa lazima wawe na
Hofu ya MUNGU nawasilisha.
Semina zinazotolewa kabla ya ndoa ni zaidi ya ndoa kwani wana ndoa wakizingatia seminar
Kabla ya ndoa na maana ya ndoa ni maagano kati ya watu wawili na swala la kupata watoto ni
Majariwa ktk maisha ya ndoa na kitu kingine cha kudumisha ndoa lazima wanandoa lazima wawe na
Hofu ya MUNGU nawasilisha.