jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Hapa sema chochote kile ambacho kimekua kikisadikika hakuna Taarifa rasmi,au research wala uthibitisho kama hivi
"Inasadikika Wazungu wengi waliliwa nyama walipofika kufanya upelelezi Afrika kwa Mara ya kwanza"
"Inasadikika China ni sehemu ya kwanza kabisa kuendelea na kustarabika duniani"
"Inasadikika Waafrika na Waarabu ndizo race zenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo"
Endelea
"Inasadikika Wazungu wengi waliliwa nyama walipofika kufanya upelelezi Afrika kwa Mara ya kwanza"
"Inasadikika China ni sehemu ya kwanza kabisa kuendelea na kustarabika duniani"
"Inasadikika Waafrika na Waarabu ndizo race zenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo"
Endelea