Inasadikika kuwa jecha ni mrundi.Inasadikika kuwa kule Zanzibar CCM haijawahi kushinda nafasi ya Urais tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Na kwakua egpty ni chanzo cha ustaarabu inasadikika kua hatutaki kusema Egyptian ni waarabu tunapoongelea hilo bali husema nchi iliyopo bara la Afrika.inasemekana egypt n chanzo cha ustaarabu
SAA iz ndio imekua inawaarabu mwanzo haikua hivo kulingana na location yake inawaafrika,waarabu na waisraelNa kwakua egpty ni chanzo cha ustaarabu inasadikika kua hatutaki kusema Egyptian ni waarabu tunapoongelea hilo bali husema nchi iliyopo bara la Afrika.