Nicklaus
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 451
- 455
Habari
Kama kuna aliyefanikiwa kujaza hizi form (self form) za kidato cha nne kwaajili ya uchaguzi wa kidato cha tano, kupitia tamisemi (selform.tamisemi.go.tz), naomba anipe muongozo au mwenye taarifa yoyote, mana nimejaribu mara nying bila mafanikio.
Nawasilisha.
Kama kuna aliyefanikiwa kujaza hizi form (self form) za kidato cha nne kwaajili ya uchaguzi wa kidato cha tano, kupitia tamisemi (selform.tamisemi.go.tz), naomba anipe muongozo au mwenye taarifa yoyote, mana nimejaribu mara nying bila mafanikio.
Nawasilisha.