Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Kampeni za 2010 hizo!
Kama haridhiki na mambo ndani ya chama chake alipaswa afanye moja kati haya:
Sasa hivi tutawasikia wengi tu kama tulivyowasikia akina Kimaro (akilalamika kuwa kuna watu wanataka kuchukua JIMBO LAKE) wakijiwekea defence ya kupambana na ufisadi.
Ole Sendeka nae analalamika kuwa kuna wananchama wenzake wanataka kuchukua JIMBO LAKE nae anatumia mapambano ya ufisadi kwa kutaka kuhalalisha ubunge wake.
Ukweli utabaki palepale kuwa hakuna mbunge mwenye hatimiliki, waache papara na wafanye kazi zao na wananchi watawarudisha kwa kuangalia rekodi ya utendaji wao. Richmond isitumike kama ndiyo ajenda ya uchaguzi, ikichujuka itakuwaje au ndiyo itakuwa kama mambo ya Mrema na Chavda?
Kama haridhiki na mambo ndani ya chama chake alipaswa afanye moja kati haya:
- Afikishe malalamiko yake kwenye vikao halali vya CCM au
- Ajivue uanachama wa CCM.
Sasa hivi tutawasikia wengi tu kama tulivyowasikia akina Kimaro (akilalamika kuwa kuna watu wanataka kuchukua JIMBO LAKE) wakijiwekea defence ya kupambana na ufisadi.
Ole Sendeka nae analalamika kuwa kuna wananchama wenzake wanataka kuchukua JIMBO LAKE nae anatumia mapambano ya ufisadi kwa kutaka kuhalalisha ubunge wake.
Ukweli utabaki palepale kuwa hakuna mbunge mwenye hatimiliki, waache papara na wafanye kazi zao na wananchi watawarudisha kwa kuangalia rekodi ya utendaji wao. Richmond isitumike kama ndiyo ajenda ya uchaguzi, ikichujuka itakuwaje au ndiyo itakuwa kama mambo ya Mrema na Chavda?