V viane Member Mar 26, 2012 79 18 Jun 15, 2012 #1 Ukiandikiwa ELIGIBLE au NOT ELIGIBLE kwenye ELIGIBILITY STATUS na QUALIFIED au NOT QUALIFIED kwenye QUALIFICATION STATUS je kuna tofauti?
Ukiandikiwa ELIGIBLE au NOT ELIGIBLE kwenye ELIGIBILITY STATUS na QUALIFIED au NOT QUALIFIED kwenye QUALIFICATION STATUS je kuna tofauti?
F fidelis zul zorander JF-Expert Member Mar 6, 2012 685 175 Jun 15, 2012 #2 all the same mkuu coz eligible inamanisha kuwa you have met the minimum qualification to apply for that program
all the same mkuu coz eligible inamanisha kuwa you have met the minimum qualification to apply for that program
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Jun 15, 2012 #3 Kingereza ni ugonjwa wa taifa kumbe?
Z Zilly Member Aug 7, 2011 7 0 Jun 18, 2012 #5 Hapo sasa. Halafu tunang'ang'a kuwa tumeweza, tumethubutu, tumesonga mbele wakati wasomi hawajui hata english ya kawaida kabisa.
Hapo sasa. Halafu tunang'ang'a kuwa tumeweza, tumethubutu, tumesonga mbele wakati wasomi hawajui hata english ya kawaida kabisa.
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 Jun 18, 2012 #6 viane said: Ukiandikiwa ELIGIBLE au NOT ELIGIBLE kwenye ELIGIBILITY STATUS na QUALIFIED au NOT QUALIFIED kwenye QUALIFICATION STATUS je kuna tofauti? Click to expand... We umemaliza Kidato cha 6 kweli???
viane said: Ukiandikiwa ELIGIBLE au NOT ELIGIBLE kwenye ELIGIBILITY STATUS na QUALIFIED au NOT QUALIFIED kwenye QUALIFICATION STATUS je kuna tofauti? Click to expand... We umemaliza Kidato cha 6 kweli???