Determinant
Member
- Nov 14, 2011
- 10
- 4
Tar 14-18 Mei kulikuwa na interview katika fani mbalimbali. Mojawapo zilikuwa za mamlaka ya EPZA watu wameishaitwa waliofuzu usaili huo, lakini cha kushangaza baadhi ya post katika mamlaka hiyo hawajaonyesha watu na hakuna taarifa yoyote. Post hizo ni:
1. Human Resources Manager na
2. Investment Promotion Officer II
Hizo nafasi wamewapa watu juu kwa juu? au hakuna mtu aliefuzu hizo nafasi? ni bora wakawa wawazi vinginevyo hawataaminika. Watu wanatoka mikoani kuja kufanya interview wanapoteza nauli na muda halafu mambo yanakuwa hivyo loo! Wajitazame.
1. Human Resources Manager na
2. Investment Promotion Officer II
Hizo nafasi wamewapa watu juu kwa juu? au hakuna mtu aliefuzu hizo nafasi? ni bora wakawa wawazi vinginevyo hawataaminika. Watu wanatoka mikoani kuja kufanya interview wanapoteza nauli na muda halafu mambo yanakuwa hivyo loo! Wajitazame.