Sehemu kuu 3 za maisha ya ndoa

Bra-joe

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,562
986
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu baada ya ndoa mpaka miezi kadhaa. Mambo yao sasa: mabusu kibao na kuambiana jinsi wanavyopendana, mume akirudi ataulizwa mambo yote ya kazini kwa upole, full out na unyumba kwa sana. 2. Kichinachina: hapa no out, unyumba kwa mbaali, mume akitoka kazini baada ya salamu anaambiwa chakula kipo mezani then no story, ugomvi huzuka mara kwa mara lkn hakuna mtu mwingine atakayejua zaidi yao, hupeana majibu ya mkato na mume huanza kuchelewa kurudi nyumbani. 3. Kienyeji: hapa ni kivumbi cha kufa mtu, ugomvi mpaka majirani wanajua, full kutupiana lawama,"ningejua nisinge kuoa" "ningeolewa na mume bora kuliko wewe", ufikia kipindi kila 1 anaomba mwenzake afe au waachane. Wana ndoa mpooo?
 
Kwa hiyo hadithi yako inatufundisha nini? tusioe au kuolewa.?
 
Wewe ndoa yako iko katika hatua ipi? Au yako tayari ni ya kienyeji na mwenzi wako anakuombea u-RIP ili apumzike?
 
Hiyo itakuwa ni experience ya ndoa yako mkuu. Yaani hadi umuombee mwenzako afe, hiyo ni very extreme aisee. Kama ni hivyo si bora muachane kwa amani tu. Maana mkishafikia huko security inakuwa ni ndogo sana.
 
Hiyo itakuwa ni experience ya ndoa yako mkuu. Yaani hadi umuombee mwenzako afe, hiyo ni very extreme aisee. Kama ni hivyo si bora muachane kwa amani tu. Maana mkishafikia huko security inakuwa ni ndogo sana.

bado sijaoa, hako ni kauchunguzi tu nilikokafanya kwa wanandoa ninaowafahamu.
 
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu baada ya ndoa mpaka miezi kadhaa. Mambo yao sasa: mabusu kibao na kuambiana jinsi wanavyopendana, mume akirudi ataulizwa mambo yote ya kazini kwa upole, full out na unyumba kwa sana. 2. Kichinachina: hapa no out, unyumba kwa mbaali, mume akitoka kazini baada ya salamu anaambiwa chakula kipo mezani then no story, ugomvi huzuka mara kwa mara lkn hakuna mtu mwingine atakayejua zaidi yao, hupeana majibu ya mkato na mume huanza kuchelewa kurudi nyumbani. 3. Kienyeji: hapa ni kivumbi cha kufa mtu, ugomvi mpaka majirani wanajua, full kutupiana lawama,"ningejua nisinge kuoa" "ningeolewa na mume bora kuliko wewe", ufikia kipindi kila 1 anaomba mwenzake afe au waachane. Wana ndoa mpooo?

Kazi ipo hapo ss sie tulioko mbioni kuoa si mnatukatisha tamaa?
 
ukweli mtupu
safi mkuu
wenye ndoa..........................
 
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu baada ya ndoa mpaka miezi kadhaa. Mambo yao sasa: mabusu kibao na kuambiana jinsi wanavyopendana, mume akirudi ataulizwa mambo yote ya kazini kwa upole, full out na unyumba kwa sana. 2. Kichinachina: hapa no out, unyumba kwa mbaali, mume akitoka kazini baada ya salamu anaambiwa chakula kipo mezani then no story, ugomvi huzuka mara kwa mara lkn hakuna mtu mwingine atakayejua zaidi yao, hupeana majibu ya mkato na mume huanza kuchelewa kurudi nyumbani. 3. Kienyeji: hapa ni kivumbi cha kufa mtu, ugomvi mpaka majirani wanajua, full kutupiana lawama,"ningejua nisinge kuoa" "ningeolewa na mume bora kuliko wewe", ufikia kipindi kila 1 anaomba mwenzake afe au waachane. Wana ndoa mpooo?

Mkuu hii ina ukweli ..., kuna uwezakano wa ku-upgrade hii ya kichinachina kwenda kwenye ya kizungu? Labda kwa kuondoa ubize usio na sababu na kujenga ukaribu baina ya wanandoa?
 
Maisha ya ndoa ni wewe mwenyewe unaamu yawe vip! Ishi kama ulivyo, siyo. Mwanzoni mkiwa out unakunywa soda ili umfurahishe mwenzako wakati moyoni unatamani bia. Mimi nina miaka mitano ya ndoa furaha na upendo inazidi kuongezeka.
 
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu baada ya ndoa mpaka miezi kadhaa. Mambo yao sasa: mabusu kibao na kuambiana jinsi wanavyopendana, mume akirudi ataulizwa mambo yote ya kazini kwa upole, full out na unyumba kwa sana. 2. Kichinachina: hapa no out, unyumba kwa mbaali, mume akitoka kazini baada ya salamu anaambiwa chakula kipo mezani then no story, ugomvi huzuka mara kwa mara lkn hakuna mtu mwingine atakayejua zaidi yao, hupeana majibu ya mkato na mume huanza kuchelewa kurudi nyumbani. 3. Kienyeji: hapa ni kivumbi cha kufa mtu, ugomvi mpaka majirani wanajua, full kutupiana lawama,"ningejua nisinge kuoa" "ningeolewa na mume bora kuliko wewe", ufikia kipindi kila 1 anaomba mwenzake afe au waachane. Wana ndoa mpooo?



Aisee!!
 
punguza uongo kidogo hakuna ndoa ya namna hiyo kama ni yako sawa kama mmechokana kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake na sio kuombeana vifo
 
Back
Top Bottom