NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Kinyondo katika kampeni zake alikuwa anajiitwa KINYONDO LWASA MABARE(ni nyundo kubwa inayopasua miamba mikubwa) kwa hiyo hakuna anaweza kumshida katika uchaguzi.
Pia nakumbuka mwaka 1990 mpaka 1995 alivyokuwa anawaelza watu kwenye kampeni zake kuhusu simu za mikonini kwamba utakuwa hapa shambani kwako lakini unawasilana na Kobulungo huko London na anamalizia kusema HAKONAKO KAGOBA(faida).
Baada ya hapo anavuta Mtemba Kidogo badala ya kunywa maji. R.I.P Mzee KINYONDO LWASA MABARE
Pia nakumbuka mwaka 1990 mpaka 1995 alivyokuwa anawaelza watu kwenye kampeni zake kuhusu simu za mikonini kwamba utakuwa hapa shambani kwako lakini unawasilana na Kobulungo huko London na anamalizia kusema HAKONAKO KAGOBA(faida).
Baada ya hapo anavuta Mtemba Kidogo badala ya kunywa maji. R.I.P Mzee KINYONDO LWASA MABARE