Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Naomben msaada niko na phone,screen touch aifanyi kazi tena,tatizo ni lipi?
Unatumia simu ya aina gani? Kama haujadondosha hiyo simu, kuikalia, kuimwagia maji au kuchange settings brobably tatizo linaweza likawa ni virus na njia pekee ya kutatua hilo tatizo kama linasababishwa na virus ni kuflash simu yako and nothing else
hiyo itakuwa imekufa touch yake unabadilisha ingine cku zinakwenda mbele taja model alisi ya cm mkuu tujue kama zitapatikana