sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,134
- 4,252
Kuna maswali mengi ambayo hatupati majibu-:
1.Je Bashe ni raia watanzania au Somalia na Somalia ipi?
2. Je Bashe alivyotimiza miaka kumi na nane aliukana uraia wa Tanzania?
3.Je Bashe anayo hati ya kusafiria yaani passport ya Tanzania?
4.Kama anayo passport nani wa kulaumiwa Uhamiaji au CCM au yeye?
5.Je Bashe ni Tishio kwa usalama wa Tanzania na CCM au ni chuki binafsi?
1.Je Bashe ni raia watanzania au Somalia na Somalia ipi?
2. Je Bashe alivyotimiza miaka kumi na nane aliukana uraia wa Tanzania?
3.Je Bashe anayo hati ya kusafiria yaani passport ya Tanzania?
4.Kama anayo passport nani wa kulaumiwa Uhamiaji au CCM au yeye?
5.Je Bashe ni Tishio kwa usalama wa Tanzania na CCM au ni chuki binafsi?