Sasa Bwana Chenge tunajua Mahakama imekusaidia sana kwa kuwa ilikutaka ulipe laki saba au uende ndani miaka mitatu nawe ukalipa laki saba kama vile mtu anavyolipa nauli ya Daladala.
Lakini katika hukumu hiyo Sijui nani anapaswa kukata Rufaa. kwa kuwa sisi si wanasheria tunaiona hukumu ni ndogo ingekuwa angalau ukae Segerea miezi miwili ndo wakutoe na uwajibike kulipa faini kwani kulipa Faini hiyo uliolipa maana yake ni kuwa umeyakubali hayo makosa.
Tumekuona Bwana Chenge ukitoka Mahakani ukicheka kana kwamba umefanya mambo mazuri hiyo haikuwa Nidhamu njema kwa jamii inakujua kuwa wewe unamakosa mengi kuliko hayo uliyohukumiwa kwayo.(angalau ungeonyesha uso wa huzuni kidogo hata kama moyonio ungekuwa umefurahi.
Kitu kingine Bwana Chenge kuyakubali yale m,akosa inamaanisha kuwa wewe sio msafi (Umegushi Bima) unawezaje kuwaongoza wananchi wa jimbo lako? wakati umegushi hata Bima je matokeo ulishindwa kugushi?
Chenge najua hapa Mahakamani umetushindwa lakini tutakushitaki kwa Mungu.
Lakini katika hukumu hiyo Sijui nani anapaswa kukata Rufaa. kwa kuwa sisi si wanasheria tunaiona hukumu ni ndogo ingekuwa angalau ukae Segerea miezi miwili ndo wakutoe na uwajibike kulipa faini kwani kulipa Faini hiyo uliolipa maana yake ni kuwa umeyakubali hayo makosa.
Tumekuona Bwana Chenge ukitoka Mahakani ukicheka kana kwamba umefanya mambo mazuri hiyo haikuwa Nidhamu njema kwa jamii inakujua kuwa wewe unamakosa mengi kuliko hayo uliyohukumiwa kwayo.(angalau ungeonyesha uso wa huzuni kidogo hata kama moyonio ungekuwa umefurahi.
Kitu kingine Bwana Chenge kuyakubali yale m,akosa inamaanisha kuwa wewe sio msafi (Umegushi Bima) unawezaje kuwaongoza wananchi wa jimbo lako? wakati umegushi hata Bima je matokeo ulishindwa kugushi?
Chenge najua hapa Mahakamani umetushindwa lakini tutakushitaki kwa Mungu.