nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 208
- 435
Hii ni baada ya kumuuliza babu mmoja hivi wa hapa kijijini nilipofikia lengo nipate maarifa kuhusu mahusiano, nilimuuliza" babu kwa nini nyakati hizi ni vigumu ndoa kudumu tofauti na nyinyi zamani?
Amenijibu kwanza nyie siku hizi hamuoi hamzingatii ukabila mnamsogezana tu. Ndo mzizi wa tatizo. Karibuni wakuu
Amenijibu kwanza nyie siku hizi hamuoi hamzingatii ukabila mnamsogezana tu. Ndo mzizi wa tatizo. Karibuni wakuu