Zak Malang JF-Expert Member Dec 30, 2008 5,404 234 Feb 20, 2012 #1 Tangu jana jioni. Kulikoni? Naona wachangiaji wengi hawapo.
Zak Malang JF-Expert Member Dec 30, 2008 5,404 234 Feb 20, 2012 Thread starter #2 Marksman said: Tangu jana jioni. Kulikoni? Naona wachangiaji wengi hawapo. Click to expand... Hata mie sipati internet kupitia Sasatel, mwenye taarifa atujuze.
Marksman said: Tangu jana jioni. Kulikoni? Naona wachangiaji wengi hawapo. Click to expand... Hata mie sipati internet kupitia Sasatel, mwenye taarifa atujuze.
Zak Malang JF-Expert Member Dec 30, 2008 5,404 234 Feb 20, 2012 Thread starter #3 Nami internet hakuna. Nimesikia mitambo yao imepata hitilafu kubwa, mafundo wameitwa toka USA.
andrewk JF-Expert Member Apr 13, 2010 3,102 488 Feb 20, 2012 #4 Kulikuwa na tetesi zakufilisika, isije ikawa ndio wameanguka!
S SWEET GIRL JF-Expert Member Dec 29, 2011 520 377 Feb 20, 2012 #5 na nyie kwann mnatumia manyi moderm za bure??hiyo sasatel ukifika ubungo maji tu haifanyi kazi!