Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
kwshne. Hata series hujai pause
kha! Mtei umekesha?
kwshne. Hata series hujai pause
Dume jingine linaimba wimbo wa Beyonce "I Am A Diva"
weekend na vijambo...
watu wanacheza kila DJ anaoachia hewani...
nyimbo zingine hazileti maana ukicheza mvulana...kwa mfano rihana anaimba "if i were a boy"...mnisamehe sauti yangu mbaya...haya ww kidume unajidai unau-feeeel wimbo...unashika na kifua kabisa...
nyambafuu...
niko Q bar karibuni!
bagah nimecheka saaaana kaka....afadhali tuelimishine kibishibishi hv....safi saaana..wala tusikasirike ni vitu vya muhimu kueleewa...ila demu akitaka ucheze nae iakuaje BAGAH?????
Bilz huwa panaboa sana cku mingne. Masharobaro weng na masta duu. Weng wanaojfunza clubing ndo hujazana mle na maisha.
Panakera.
Mi niko savannah napata raha bila karaha. Watoto watoto huku hawajapamudu.
Ukija usisahau kufika arachugakuumm dar moko...
nalamba maji ya dhahabu aise...
ila ntakuja moshi mkuu...nahc nxt week...
club mpya huko ni ip kwa sasa??
ina jina lenye mvuto...
au ni ya kike madam?LOL