BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 4,229
- 5,261
Upo sahihi..kuna ile nyingine Kadinali mweusi anarukwa na Papa bila kupewa Salamu.Mimi sitetei Papa wala kipapa, hapa issue watu weusi tuache kuabudu hawa watu.
Ndugu zetu Congo wanakufa kinyama Jirani tu hapo, lakini mswahili yuko bize na Free Please.
Stupid.
Mwenye nayo aiweke pia ili tuweke uzani sawa, kwamba watu weupe tunaowaabudu na kufuata Ibada zao tunajipendekeza