TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Tufikiri upya na kwa makini zaidi.
Nadhani ni wakati mwafaka sasa tukae na kujiuliza kama mtu/chama kinaweza kuwa madarakani kwa miaka mingi na mtu ukasema hakijafanya chochote.Kujifunza nini hasa maana ya takwimu na kuna maana gani mtu anaposema uchumi umekua lakini hali ya maisha ikaonekana bado ngumu.Kujifunza tofauti ya kuongezeka kwa pato la taifa na maendeleo.
Ni wakati mwafaka sasa kufahamu kwamba kazi ya chama cha siasa si tu kuponda bali hata kusifia yale yaliyofanyika.Kama raisi wa nchi anasimama na kusema yeye ndo aliamu kuanzisha chuo kikuu kama sehemu ya ilani ya chama halafu mtu mwingine akaja akasema rais anaongopa inabidi huyu mtu atuambie rais anaongopa kivipi na kwa nini kama alijua ukweli siku zote hakuusema mpaka wakati huu.Kwani harakati zina likizo???(napata mashaka).!
Kama unaweza kukaa ndani ya nyumba kwa miaka lukuki huku ukiona ni nyumba mbovu yatupasa utushawishi uliwezaje kufanya hivyo.(mashaka makubwa)
Ni wakati wa kufikiri na kuamua.:violin:
Nadhani ni wakati mwafaka sasa tukae na kujiuliza kama mtu/chama kinaweza kuwa madarakani kwa miaka mingi na mtu ukasema hakijafanya chochote.Kujifunza nini hasa maana ya takwimu na kuna maana gani mtu anaposema uchumi umekua lakini hali ya maisha ikaonekana bado ngumu.Kujifunza tofauti ya kuongezeka kwa pato la taifa na maendeleo.
Ni wakati mwafaka sasa kufahamu kwamba kazi ya chama cha siasa si tu kuponda bali hata kusifia yale yaliyofanyika.Kama raisi wa nchi anasimama na kusema yeye ndo aliamu kuanzisha chuo kikuu kama sehemu ya ilani ya chama halafu mtu mwingine akaja akasema rais anaongopa inabidi huyu mtu atuambie rais anaongopa kivipi na kwa nini kama alijua ukweli siku zote hakuusema mpaka wakati huu.Kwani harakati zina likizo???(napata mashaka).!
Kama unaweza kukaa ndani ya nyumba kwa miaka lukuki huku ukiona ni nyumba mbovu yatupasa utushawishi uliwezaje kufanya hivyo.(mashaka makubwa)
Ni wakati wa kufikiri na kuamua.:violin: