Sasa siyo siri serikali ya Kikwete imefulia na inakaribia ku-collapse!

Dumelambegu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,052
257
Jamani,

Kwa wale wadau waliopo serikali ebu tupeni ukweli kuhusu hili. Sisi tuliopo kwenye sekta binafsi tunaona dalili zote kuwa serikali imefulia. Jamaa yangu mmoja amenihabarisha kuwa imefikia hatua hata chai ofisi za serikali imeanza kuadimika. Mwezi uliopita tuliambiwa serikali ilibidi ikope bank ili ilipe mishahara watumishi wake. Wenye news kuhusu kufulia kwa serikali watujuze hapa! Kama hali ndiyo hiyo, enzi za Mzee wa Ruksa zinaanza kurejea!
 
Jamani,

Kwa wale wadau waliopo serikali ebu tupeni ukweli kuhusu hili. Sisi tuliopo kwenye sekta binafsi tunaona dalili zote kuwa serikali imefulia. Jamaa yangu mmoja amenihabarisha kuwa imefikia hatua hata chai ofisi za serikali imeanza kuadimika. Mwezi uliopita tuliambiwa serikali ilibidi ikope bank ili ilipe mishahara watumishi wake. Wenye news kuhusu kufulia kwa serikali watujuze hapa! Kama hali ndiyo hiyo, enzi za Mzee wa Ruksa zinaanza kurejea!

GREAT THINKER!!!! Kutokua na chai maofisini ni dalili za serikali kufulia??? Kazi ipo
 
Jamani,

Kwa wale wadau waliopo serikali ebu tupeni ukweli kuhusu hili. Sisi tuliopo kwenye sekta binafsi tunaona dalili zote kuwa serikali imefulia. Jamaa yangu mmoja amenihabarisha kuwa imefikia hatua hata chai ofisi za serikali imeanza kuadimika. Mwezi uliopita tuliambiwa serikali ilibidi ikope bank ili ilipe mishahara watumishi wake. Wenye news kuhusu kufulia kwa serikali watujuze hapa! Kama hali ndiyo hiyo, enzi za Mzee wa Ruksa zinaanza kurejea!

Umezoea kuishi kwa dili zimebana wapiga kelele!
 
Ngoja watujuze kwanza...lakini hii info ya kufulia ipo hapa jamvini tangu february!!sema serikali inakanusha tu, na hela zao mpya zimefulia,hazipo tena kwenye circle
 
suala la serikali kutokuwa na fedha liko wazi, hata ofisini kwetu chai kwa sasa hakuna, na hata mambo mengine yamefutwa, vinafanyika vitu vya lazima tu.
 
plz think twice!! lack of tea in the govt office does not imply that the govt is having shortage of funds, otherwise stated......
 
Hapa siyo suala la deal. Ni jambo lililo bayana kabisa kuwa serikali imefulia. Hali ni mbaya sana kifedha.

Mishara ya mei wamepeleka bank last week, this week watu watalipwa? Matumizi ya sio lazima wamebana kweli what's the fuss?
 
kama imefulia basi wakatae bajezi za halmashauri zanye 70% matumizi ya kijinga yasiyo na maendeleo
 
Upunguzwe mshahara wa kikwete na matripu ya nje ndipo tutasalimika, wabunge wapunguziwe mishahara na mapochopocho...........
 
kuna Almashauri juzi tu imepitisha bajeti ya sherehe za kuukaribisha mwaka 2011 wakati mwaka wenyewe umeshazeeka, kwahiyo sishangai serikali kufuria ina matumizi ya hovyo hovyo.
 
GREAT THINKER!!!! Kutokua na chai maofisini ni dalili za serikali kufulia??? Kazi ipo

kwani nyumbani watoto wanapokuwa wanapiga Deshi asubuhi na mchana ni dalili za nini?au ni dalili za mambo safi kila siku sikukuu tu
 
plz think twice!! lack of tea in the govt office does not imply that the govt is having shortage of funds, otherwise stated......

je umeme unapokatika na wakashindwa kuwasha genereta kisa mafuta tusemeje?wanaposhindwa kutengeneza a/c tusemeje?serikali inapokopa kwa wafanya kazi inakuwa ina hela?asilimia kubwa ya wafanya kazi wanaidai serikali.likizo,uhamisho,kesi na malimbikizo kibao...
 
ni kweli serikali haina pesa. hiyo aliyosema kukosa chai ofisini ni mfano tu. ila ukweli hata vitu vya msingi kama karatasi za kuandikia, na vitu vingine vya ofisi havitolewi sababu ya hela
 
Juzi kuna Boss mmoja wa ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni ameniambia ata Mafuta ya Mashangingi wamepunguziwa liters wanazopewa kwa wiki wanapata Nusu ya wanayotakiwa kupewa kadiri ya Utaratibu.
 
Back
Top Bottom