MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
halafu wanaoumia ndio sisi sisi tuliowachagua watu wale wale
Halafu mkuu kuna wengine hawajui kuwa wao ndio wanaumia !
halafu wanaoumia ndio sisi sisi tuliowachagua watu wale wale
Mjj kujiuzulu watendaji wakuu hakuwezi saidia hata kidogo. Muhimu na major overhaul ya system.
Hili si suala la maslahi tena ni suala la sekta ya afya.