Destined to heaven
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 309
- 166
Hahahahahahahaha kabisa mkuu dah its a mega end of thinking capacity.I think this is the end of thinking
Hahahahahahahaha kabisa mkuu dah its a mega end of thinking capacity.I think this is the end of thinking
Unajiita 'seal team six' afu unakuwa na upeo wa ajabu namna hii!!Endelea kulia lia tuu maana zama zenu za kuinyonya hii nchi zimeshakwisha. Jipange kivingine bro, kulalama lalama huku jamii forum hakutokusaidia, Utaumbuka mjini mzazi. Kaanzishe mashamba ya matikiti kimbiji, yanalipa sana pia.
Nani amekwambia tunahitaji mizigo mingi isiyo na tija kwa taifa?
Tija kwa taifa aiamuliwi kwa maneno ya kisiasa. Mapato yanaongezeka for how long? Impact ya ajira za waliokuwa wakiwajibika huko? Au hizo kodi utawagawia wagawane ili watunze familia zao?Kitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
Bagamoyo Ni Bandari Maalum Ya Kufuga Konokono TuMh! kuishi kwingi ni kuhatarisha afya tu, sasa hali hii ni kutiana msongo wa mawazo na kufa gafla. Sasa kuna haja ya kuendelea na ujenzi wa ile ya bagamoyo kweli?
Hivi mwezi uliopita mmekusanya shiling ngapi vile??Kitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
Kitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
Kitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
Kama uko hapa kutukejeli, endelea na kejeli zako. Ssi tunasonga mbele.Hivi mwezi uliopita mmekusanya shiling ngapi vile??
Hao si ndo walikuwa majizi wa accessories kwenye magali? Wacha waisome nambaHabari ya kusikitisha na kuhudhunisha kwa siku ya leo. Hii ina maana ajira kibao zimeota mbawa, Madereva wa shunting toka bandari mpaka ICDs,makarani wa ICDs,wafanyakazi wa kampuni za uagent(clearing and fowarding),usisahau watu wa plate namba,mawakala wa kampuni za meli,madereva wasafirishaji (IT),mama ntilie,madereva mitaani n,k . Jamani kuweni waungwana tusifurahie shida na machungu ya wengine kwa kujipa faraja kwamba sisi tunapokea mshahara au tuna hela hatuathiriki,ipo siku huu mzunguko utakufikia tu! direct au indirect
Yameongezeka baada ya kupungua mizigo?? Hahahahaha hii kali sana kama ni hivyo basi tuzifunge kabisa ICDs na Bandari ili mapato yaongezeke zaidi na zaidiKitu cha Muhimu ni kuwa mapato yameongezeka...
Hatuhitaji mizigo mingi isiyokuwa na tija kwa taifa
Nani aliwaweka hao unaowaita Exploiters??Kama uko hapa kutukejeli, endelea na kejeli zako. Ssi tunasonga mbele.
Ukiangalia hizo icd's ndo baadhi zilikamatwa kwa kutokulipa kodi stahiki. Hivyo as longer as the port can receive and distribute the cargo efficiently, without the help of those exploiters, its fine to us
Lumumba akili zao za kushikiwa,washalewa na ngonjera..hahaha!! nani amekwambia mizigo mingi haina tija! kumbuka sehemu kubwa ya mizigo ni ya transit, sasa transit cargo haina tija?