Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kutokana na jitihada za kupunguza nguvu za Chadema Bungeni ili kuikweza CUF kuwa na sauti kubwa katika upinzani -- sauti ambayo inaanza kupotea kama ilivyojionyesha katika uchaguzi ulopita, sasa naamini kabisa kwamba CUF ni CCM B -- na ni maswahiba wakubwa wa chama tawala -- CCM.
Na pia inaonysha jinsi CCM inavyoiogopa Chadema hasa katika kutoyumba kwao katika kusimamia masilahi ya wananchi.
Naona kwa hili hakuna ubishi. Asanta Spika makinda kwa kutudhihishia hilo -- lakini angalia usiwe unawafanyia wananchi maandalizi ya yaliyotokea Tuniusia au Misri, kwani nchi hii kama tulivyoiona hivi karibuni, Tanzania siyo tofauti (unique) na hivyo hayo yanaweza kabisa kutokea. Tatizo ni time muafaka na wewe Makinda utahesabiwa katika historia kuwa ni mmojawapo aliyechangia vurugu.
Ukae ukijua hilo kutokana na maamuzi yoyote utakayokuwa unafanya katika Bunge hili katika kulinda masilahi ya mafisadi wachache, na siyo ya wananchi wengi walio masikini.
Nakuomba usikubali kuambukizwa ule ugonjwa wa kuona mwisho wa pua tu, jaribu kuona mbali sana.
Na pia inaonysha jinsi CCM inavyoiogopa Chadema hasa katika kutoyumba kwao katika kusimamia masilahi ya wananchi.
Naona kwa hili hakuna ubishi. Asanta Spika makinda kwa kutudhihishia hilo -- lakini angalia usiwe unawafanyia wananchi maandalizi ya yaliyotokea Tuniusia au Misri, kwani nchi hii kama tulivyoiona hivi karibuni, Tanzania siyo tofauti (unique) na hivyo hayo yanaweza kabisa kutokea. Tatizo ni time muafaka na wewe Makinda utahesabiwa katika historia kuwa ni mmojawapo aliyechangia vurugu.
Ukae ukijua hilo kutokana na maamuzi yoyote utakayokuwa unafanya katika Bunge hili katika kulinda masilahi ya mafisadi wachache, na siyo ya wananchi wengi walio masikini.
Nakuomba usikubali kuambukizwa ule ugonjwa wa kuona mwisho wa pua tu, jaribu kuona mbali sana.