Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Najiuliza:
1 - Tutarajie Sanitas kufunga biashara kama AMI?
2 - Tangazo hili mbona lipo kimipasho na limejaa jazba?
3 - Serikali inasubiri wananchi walie? Kuna wengi wanalalamikia huduma zisizoeleweka toka Hospitali hii; madaktari wengi wameikimbia.
4 - Hivi Sanitas doesn't make profit? Kwanini wasiendeshe biashara professionally?
Only in Tanzania!
1 - Tutarajie Sanitas kufunga biashara kama AMI?
2 - Tangazo hili mbona lipo kimipasho na limejaa jazba?
3 - Serikali inasubiri wananchi walie? Kuna wengi wanalalamikia huduma zisizoeleweka toka Hospitali hii; madaktari wengi wameikimbia.
4 - Hivi Sanitas doesn't make profit? Kwanini wasiendeshe biashara professionally?
Only in Tanzania!