wameomba wapi na kutoka kwa nani protocol zinasemaje usanii mkubwa huyu raisi wa ajabu sana ataendeleza propaganda kama watu tumekinaiWewe umeshakuwa mtu mzima!
Wanaposema msafara umezuiwa haiwezakani watu wakawa wamepambana magogo barabarani, hao watakuwa wameomba asipite hapo bila ya kuzungumza nao, haukuwa planned na hivyo raisi amelazimika kusimama kuongea na wananchi! Inawezekana umepangwa leo, au Jana au hata wiki iliyopita Ila point ni kuwa alilazimika kusimama eneo ambalo halikuwa ktk ratiba yaake!
Vinginevyo ktk nchi hii hakuna hata mtu mmoja anaweza kuzuia TINGATINGA likitaka kupita!