Hiyo mahakama kama itatenda haki itapaswa kuanza na Marais Wastaafu kama mfano.Mahakama ya Wanamtandao Mafisad itaanzishwa bila ya kupitia Bungeni kuepusha Genge la Fisadi Mkuu kuipinga!
Kwani mkisema Magufuli ameomba kuhutubia wananchi,maandalizi yakafanyika na mkusanyiko ukapatikani itaonekanaje?jamani kampeni zimeisha,sioni tatizo kama mtakuwa wakweli.Hapa ITV nashuhudia habari kuwa Magufuli kazuiwa na wananchi ili ahutubie.Ukitazama mazingira huoni dalili hizo.isipokuwa ni mkusanyiko ulioandaliwa kwa shughuli maalimu
Hizi habari za magufuli kuhutubia njiani zinawaumiza sana.Kwani mkisema Magufuli ameomba kuhutubia wananchi,maandalizi yakafanyika na mkusanyiko ukapatikani itaonekanaje?jamani kampeni zimeisha,sioni tatizo kama mtakuwa wakweli.Hapa ITV nashuhudia habari kuwa Magufuli kazuiwa na wananchi ili ahutubie.Ukitazama mazingira huoni dalili hizo.isipokuwa ni mkusanyiko ulioandaliwa kwa shughuli maalimu
Nyoka lenye makengeza haliwezi pokelewa popote zaidi ya ccm
na hii ni moja ya komenti ya kipuuzi tangu mwaka uanzeHii ni miongoni mwa thread za kipuuz toka mwaka uanze
Unaconstipation?Kweli nyie ni wapinzan, maana kila kitu mnapinga
kama unabisha naweza kukuwekea majina ya watu 10 waliokuwa kamati ya maandalizi ya kukusanya watu .Hizi habari za magufuli kuhutubia njiani zinawaumiza sana.
Alpokuwa Arusha,alizuiwa zaidi ya mara tatu.
Lowasa kusikia hivyo akapanga mafuriko na yeye dumila..
mtu kama lowassa akilita kijijini kwenu atamjua nani,,lakini ilipangwa eti ionekane kazuiwa na wananchi.Umwambielowassa aache usanii
Wewe umeshakuwa mtu mzima!Kwani mkisema Magufuli ameomba kuhutubia wananchi,maandalizi yakafanyika na mkusanyiko ukapatikani itaonekanaje?jamani kampeni zimeisha,sioni tatizo kama mtakuwa wakweli.Hapa ITV nashuhudia habari kuwa Magufuli kazuiwa na wananchi ili ahutubie.Ukitazama mazingira huoni dalili hizo.isipokuwa ni mkusanyiko ulioandaliwa kwa shughuli maalimu
Wananchi wanaandaliwa mapema na viongozi alafu rais kazuiwa dààaa wananchi walijuaje mfalme anapita?