Samwel Sitta ndiye aliyeifisadi CDA mpaka kufirisika

Inamaana tangu huyo six afisadi hiyo cda hakuna pesa nyingine iliyopatikana kwa ajili ya mradi huo. Acheni unafiki, mji na makao makuu hayatakuwa kutokana na maslahi ya watu wachache. Mbona maofisi ya wizara mbalimbali zilizopo dar yanaboreshwa badala ya kujenga huko Dodoma? Tangu six afisadi km mnavyodai, ni miaka mingapi imepita? Mbona bado mji umejaa barabara za vumbi kibao? Mwacheni mpambanaji apambane.
 
anajifanya anapinga ufisadi kwenye mambo asiyokuwa na manufaa nayo nayeye ni fisadi mzuri tu ndio alyesababisha cda dodoma mpaka leo kushndwa kufikia malengo ya kuwa mjii mkuu sababu jamaa hela zote za miradi kipindi kile alikula bila aibu

nadhani umetumwa wewe kupima upepo, Sitta alitoka CDA 1995, wewe unazunmzia kaifiri leo 2011?
 
Mimi simkatai 6 kwa madai ya kuwa ni fisadi, ila kwa kubeza upinzani kwa mambo na hoja za msingi kabisa kwa maslahi ya taifa. Tunakumbuka alivyojaribu kuzima hoja ya ufisadi wa meremeta, deep green na BOT iliyokuwa iwasilishwe na DR. Slaa.
Pia alizima kwa makusudi mjadala wa hiyo hiyo DOWANS pindi alipokuwa spika wa bunge.
Hata majuzi tu, ameungana na SHIBUDA bungeni kuhusu posho ambazo zimeifilisi nchi.
Hoja ya yeye kuwa fisadi, haina mashiko, ila ni mnafiki, pamoja na kufanya maamuzi kimakosa. Ofisi ya spika kujengwa TBR siyo hoja ya kumuita fisadi, ila ni kuhoji uhalali na usahihi wa maamuzi.
 
Miaka yote hii hawakujua Sitta kama fisadi mpaka pale alipotoa kauli ya kupinga malipo fisadi kwa kampuni hewa ya Dowans!!! Ndio wakakumbuka kama Sitta ni fisadi!!!! Halipwi mtu hapa mpaka kieleweke!!!!

Umesomeka mkuu. Hilo ni swali la msingi kujiuliza, hata kama kuna ukweli kiasi kuhusu mzee huyu,lakini hawezi kufananishwa kwa mbali sana na wale mapacha. Naamini hawa wadau wanatofautiana sana ktk kiwango cha uzalendo, kwamba nachelea kusema kuwa uzalendo kwa wengi wao ni wakutafuta kwa kazi iliupate ona chembe yake, lakini kwa mzee Sitta nikili kuwa pamoja na chama alichopo na udhaifu wake mwingine kama mwanadamu, huyu mzee ni mzalendo kwa kiasi chake na mimi naamini kuwa anamchango mkubwa ktk mabadiliko tunayo yashuhudia ktk nyakati hizi.
 
Ingekuwa kweli unachokiongea kingeshatangazwa zamana sana. Kumchafua mtu msafi ni kazi kweli kweli yaani sijui ufanyeje labda umtegee na mtego mpya
 
Back
Top Bottom