hiyo ni tabia ya kla politician hipocriss so kama hivyo naona anafaahuyu jamaa ni mnafiki na aaminiki kabisa mkuu,kuna baadhi ya mambo anakuwa kama ni mtu mwema na mengine ni kituko...ishu ya uraisi 2015 anaonekana kama anapigana upande wa watanzania kwasababu halipendi kundi la el lakini ukija kwenye posho ndio wakwanza kutaka iongezwe...nadhani hatufai cdm....
Sitta anafaa kwa sababu tatizo la kimsingi hapa Tanzania yetu ya leo ni uongozi dhaifu usio wa kizalendo unaoletwa na mfumo wa kifisadi ambao kama ni kweli Sitta ana "chuki binafsi" na mafisadi wakuu na mfumo wao huu basi atakua na extra incentive ya kuong'oleya mbali huu mfumo na wale wakuu wake na hiyo atakua ametuondolea tatizo kubwa sisi WANAnchi hii.
Msikatishe tamaa watu wanaopambana. There are many fronts but the struggle is one.
Msema kweli mpenzi wa Mungu,Sitta anatusaidia wananchi kuijua CCM na serikali yake vizuri tena anatufundisha na kutuamsha ili tuzijue na kuzidai haki zetu.