Samsung yazidi kuwa Iphone

Amos David Mathias

JF-Expert Member
Sep 3, 2022
1,574
3,030
Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina msingi kutoka Kwa kampuni ya simu ya Iphone.

Hivi ni vitu baadhi ambavyo Samsung kaiga kutoka Kwa Iphone na vimeleta mabadiliko hasi Sana kwa watumiaji wa hizi simu za Samsung;


1 Wameiga kuondoa 3.5 mm jack kutoka kwenye simu za Iphone ;

Mwaka 2017 iphone waliondoa 3.5mm jack ya kuingiza Ear phones kutoka kwenye simu zao za Iphone 7. Matokeo yake Iphone walipondwa Sana na watumiaji wake na kukemewa vikali na kupondwa na makampuni ya simu ikiwemo Samsung.Chanzo Cha kuondoa 3.5 mm jack ilikuwa ni sababu Iphone walishindwa kutengeneza kioo full screen huku 3.5mm Jack ikiwepo.Iphone wanadai kwamba waliondoa 3.5 mm jack Ili waweze kutengeneza full screen BIla kizuizi.Kitu ambacho simu za android ilishaweza kutengeneza huku 3.5 mm jack ikiwepo.Tuseme tu android phones ZIPO mbele kiteknlolojia zaidi ya iPhone .

Swali langu ninajiuliza kwanini Samsung waliamua kuondoa 3.5 mm jack kwenye simu zao Kwa kumuiga iPhone wakati wanajua Iphone waliondoa hicho kitu sababu ya kukosa teknolojia ya kutengeneza full screen BIla kutoa 3.5mm jack?

2 Wameiga kutoweka charger na cover za simu kwenye Box la Simu mpya kama wanavyofanya Iphone ;

Nasikitika Sana kuona Samsung wamepata ujasiri wa kupakia simu tu kwenye Box BIla charger Wala Cover kama simu zingine za Android zinavyofanya.Watu wanatoa mamilioni lakini hawapati product zilizokamilika kwenye Box.Ni upuuzi mtupu.


Wakati simu zingine za Android zinajitahidi kuweka Hadi pre installed screen protector na accessories za simu zinazohitajika Sana Samsung wapo busy wanazidi kuziondoa.


Mimi ni mdau wa Samsung lakini hapa niseme tu Samsung wamefeli pakubwa.

Ni ajabu kukuta Flagship phone kama galaxy S23 ultra imekuja tu na USB Haina charger ni upuuzi mtupu tu.

NI BORA NIHAMIE KAMPUNI ZINGINE ZA SIMU MAANA SAMSUNG WAMEBADILIKA KUWA IPHONE SIO WAO TENA.

Shame on you ShameSung
 
Wenzio wanafanya mabadiliko wakiamgalia na soko jinsi linavyoenda

Kipindi hicho Samsung kuweka earphone jack kwenye simu zao ilikuwa ni idea nzuri kwasababu wireless pods, earbuds zilikuwa bado hazijakaa vizuri sokoni.

Charger nayo ni ya kuiletea complain kweli?

Watu wanaangalia mazingira, mitaani miwaya miwaya imekuwa mingi na hii yote kwasababu ya kuzagaa kwa charger.

Hivyo unakuta mtu ananunua simu ambayo imekuja na charger wakati huo charger yake aliyokuwa anaitumia kwenye simu ya zamani bado ipo.

Ni vitu vidogo ila we umevifanya vionekane vikubwa.
 
Wenzio wanafanya mabadiliko wakiamgalia na soko jinsi linavyoenda

Kipindi hicho Samsung kuweka earphone jack kwenye simu zao ilikuwa ni idea nzuri kwasababu wireless pods, earbuds zilikuwa bado hazijakaa vizuri sokoni.

Charger nayo ni ya kuiletea complain kweli?

Watu wanaangalia mazingira, mitaani miwaya miwaya imekuwa mingi na hii yote kwasababu ya kuzagaa kwa charger.

Hivyo unakuta mtu ananunua simu ambayo imekuja na charger wakati huo charger yake aliyokuwa anaitumia kwenye simu ya zamani bado ipo.

Ni vitu vidogo ila we umevifanya vionekane vikubwa.
Mkuu Kwahiyo Simu Ina charger watt 53 Lakini huikuti kweli box unauziwa separate ni kitu Cha Kawaida.Je Kwa waliopoteza charger za matoleo yaliyopita ya hizo simu watatolea wapi charger.

Kwahiyo Samsung S24 ultra tutachajia charger Za S22 ultra huoni ni upuuzi huu.
 
Mkuu hizi kampuni zipo kwa ajili ya kutengeneza faida,apple baada ya kutoa Jack ile 2021 iliingiza 12$ billion kwa airpods pekee Hapo Samsung nap watataka share Yao , mda mwingine Bora kufata trend si unaona kampuni ya Nokia ilivo kuwa inagomea mabadiliko inavoteseka now
Nokia kweli mkuu hakuna midrange za Nokia zinazozidi midrange za TECNO na INFINIX
 
Kama unataka flagship yenye 3.5mm Jack basi nunua Sony Xperia 1 IV
Simu hii ina 3.5mm jack, ina SD card slot kwa hiyo utaweka memory card kama kawaida, inakubali 120Hz refresh rate. kwenye apps nyingi, ina speaker yenye base, ina clean software pia, kama wewe ni fan wa Stock Android.
Pia simu hii inakuruhusu kufanya livestream YouTube hata kama hujakidhi vigezo kama vile idadi ya subscribers, haijalishi Una subscribers wangapi kwenye simu hii utafanya livestream, ina kila unachokitaka

Ila kwenye suala la accessories itabidi Tu ukubali kwa sababu makampuni yanadai yanalinda mazingira. Kama unataka flagship yenye accessories walau basi nunua flagship za Xiaomi, Ila huko nako utakosa 3.5 mm jack na SD card slot.

Kwa mfano ukinunua Sony Xperia 1 IV unakuta simu Tu ndani ya boksi, unalazimika kununua 30W Sony charger kwa bei ya 50£

Binafsi naona kitu ambacho Samsung wanafanya ni Sawa tu. Kwenye S23 Ultra umewekewa hadi stylus pen, inatosha
Accessories tafuta mwenyewe.

Kwa sasa Sony ndio anajali kuweka 3.5mm jack kwenye flagship zake

Hii ni Sony Xperia 1 IV
23_28_25_gsmarena_005.jpg
23_28_50_gsmarena_004.jpg
23_29_04_gsmarena_034.jpg
23_29_28_gsmarena_027.jpg
 
Ungefatilia vizuri sio samsung tuh ni kwamba wanaongozwa na umeowa eu na kwa sasa wanatak kuondoa aina zote za usb na kubali na standard ya usb type C..hii itasupport earphone na charge na ukiona kero utatumia earpods na hili limekuja hata kwa laptop za generation kuanzia ya 10
 
Wenzio wanafanya mabadiliko wakiamgalia na soko jinsi linavyoenda

Kipindi hicho Samsung kuweka earphone jack kwenye simu zao ilikuwa ni idea nzuri kwasababu wireless pods, earbuds zilikuwa bado hazijakaa vizuri sokoni.

Charger nayo ni ya kuiletea complain kweli?

Watu wanaangalia mazingira, mitaani miwaya miwaya imekuwa mingi na hii yote kwasababu ya kuzagaa kwa charger.

Hivyo unakuta mtu ananunua simu ambayo imekuja na charger wakati huo charger yake aliyokuwa anaitumia kwenye simu ya zamani bado ipo.

Ni vitu vidogo ila we umevifanya vionekane vikubwa.
Na kwa new user nao wafanyaje?

Sijawahi tumia iphone, nikitaka kununua iphone mpya napata wapi charger?
 
Mkuu Kwahiyo Simu Ina charger watt 53 Lakini huikuti kweli box unauziwa separate ni kitu Cha Kawaida.Je Kwa waliopoteza charger za matoleo yaliyopita ya hizo simu watatolea wapi charger.

Kwahiyo Samsung S24 ultra tutachajia charger Za S22 ultra huoni ni upuuzi huu.
Na mbaya zaidi unalipa hela nyingi zaidi ya uliyokuwa unalipa mwanzo kununua simu.
 
So next wanaondoa nn? Maana wanapunguza kimoja kimoja nahisi simcard, volume na poweroff batan ndo vinafuatia kuondolewa
Just imagine

Samsung Galaxy S23 Ultra ina hadi 1TB storage na bado watu wanataka sehemu ya kuwekea memory card

Wakiondoa SIM Card slot basi simu itakuwa inatumia eSIM technology

Wakiondoa volume button basi simu zitakuwa zinasense pressure ukikandamiza kwenye edge na hivyo sauti itaongezeka au kupungua bila shida. Hata Xiaomi Mi Mix Alpha inafanya hivyo, haina volume buttons kabisa

Power off button wakiiondoa labda watatumia fingerprint scanner kama sehemu ya kuwashia simu, au kuwasha simu kwa kuiambia tu "Turn on"
Natamani sana technology ifikie huko ndio maana naipenda Sana Xiaomi Mi Mix Alpha
images%20(11).jpg
images%20(12).jpg
 
Mkuu Kwahiyo Simu Ina charger watt 53 Lakini huikuti kweli box unauziwa separate ni kitu Cha Kawaida.Je Kwa waliopoteza charger za matoleo yaliyopita ya hizo simu watatolea wapi charger.

Kwahiyo Samsung S24 ultra tutachajia charger Za S22 ultra huoni ni upuuzi huu.
Accessories za simu ni rahisi kupatikana na ziko very affordable

Hoja ya kusema charger uliipoteza hivyo unataka kwenye box uipate sidhani kama ina mashiko maana simu unayopewa mpya full box kumbuka pia haiji na protector wala cover ila unavinunua.

Soma uone hapa
Screenshot_20230424-201152.png
 
Just imagine

Samsung Galaxy S23 Ultra ina hadi 1TB storage na bado watu wanataka sehemu ya kuwekea memory card

Wakiondoa SIM Card slot basi su itakuwa inatumia eSIM technology

Wakiondoa volume button basi simu zitakuwa zinasense pressure ukikandamiza kwenye edge na hivyo sauti itaongezeka au kupungua bila shida. Hata Xiaomi Mi Mix Alpha inafanya hivyo, haina volume buttons kabisa

Power off button wakiiondoa labda watatumia fingerprint scanner kama sehemu ya kuwashia simu, au kuwasha simu kwa kuiambia tu "Turn on"
Natamani sana technology ifikie huko ndio maana naipenda Sana Xiaomi Mi Mix Alpha View attachment 2598538View attachment 2598540
Waondoe spika na mic tutumie earphones
 
Kama unataka flagship yenye 3.5mm Jack basi nunua Sony Xperia 1 IV
Simu hii ina 3.5mm jack, ina SD card slot kwa hiyo utaweka memory card kama kawaida, inakubali 120Hz refresh rate. kwenye apps nyingi, ina speaker yenye base, ina clean software pia, kama wewe ni fan wa Stock Android.
Pia simu hii inakuruhusu kufanya livestream YouTube hata kama hujakidhi vigezo kama vile idadi ya subscribers, haijalishi Una subscribers wangapi kwenye simu hii utafanya livestream, ina kila unachokitaka

Ila kwenye suala la accessories itabidi Tu ukubali kwa sababu makampuni yanadai yanalinda mazingira. Kama unataka flagship yenye accessories walau basi nunua flagship za Xiaomi, Ila huko nako utakosa 3.5 mm jack na SD card slot.

Kwa mfano ukinunua Sony Xperia 1 IV unakuta simu Tu ndani ya boksi, unalazimika kununua 30W Sony charger kwa bei ya 50£

Binafsi naona kitu ambacho Samsung wanafanya ni Sawa tu. Kwenye S23 Ultra umewekewa hadi stylus pen, inatosha
Accessories tafuta mwenyewe.

Kwa sasa Sony ndio anajali kuweka 3.5mm jack kwenye flagship zake

Hii ni Sony Xperia 1 IV View attachment 2597560View attachment 2597561View attachment 2597562View attachment 2597563
Hiyo sony ni poor design, a phone from the past, 2015 design in 2023
 
Back
Top Bottom