Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,796
Ni maneno ya chris weber vice president wa nokia kwenye mauzo akiwaambia samsung waje kuchukua notsi katika nokia world september 5 mwaka huu. Maneno hayo yanakuja baada ya samsung kumshinda nokia katika q2(april, may na june) baada ya kuuza unit 97 miilion dhidi ya zile za nokia 83 million.
Je nokia wanatuandalia nini?
Je nokia wanatuandalia nini?