Elections 2010 Same mashariki ni kumkoma nyani

Selungo

JF-Expert Member
Sep 23, 2009
1,271
403
WERA WERAAAAAAAAAAAA! Ngoma inogile, hapa nimetoka kumfukuza mtu bungeni na pia kumvukuza mtu kazi kama vile alivotishia kunifukuza kazi kama.

Inatia raha saaaaaaaaana hasa kuona hapa Gonja, vijana wamejitokeza kwa wingi. Kila mmoja akionyesha kukasirika ile mbaya kwa ishara ya kwenda kuuwa watu na chama chao. Haki ya nane hakuna cha sijui PATACHIMBIKA wala nini. Kwa uhakika Mpaka sasa hivi mama wa PATACHIMBIKA chaliiiii!

PEOPE'S POWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEER!
 
WAKUU HESHIMA MBELE.

Mama sio BP tu huenda na kiharusi kikafuatia wakuu. Kwa hali niliyo iona bandugu, nina hakika anaishi na kuhema kwa matumaini. Wana Same Mashariki wameahaamua kuuwa kabisa. Subiria mambo usiku huu. Tumesha mwambia :yield:
 
WERA WERAAAAAAAAAAAA! Ngoma inogile, hapa nimetoka kumfukuza mtu bungeni na pia kumvukuza mtu kazi kama vile alivotishia kunifukuza kazi kama.

Inatia raha saaaaaaaaana hasa kuona hapa Gonja, vijana wamejitokeza kwa wingi. Kila mmoja akionyesha kukasirika ile mbaya kwa ishara ya kwenda kuuwa watu na chama chao. Haki ya nane hakuna cha sijui PATACHIMBIKA wala nini. Kwa uhakika Mpaka sasa hivi mama wa PATACHIMBIKA chaliiiii!

PEOPE'S POWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEER!

Lakini nasikia ni upande wa gonja tu Kilango hana nguvu kwingine anakubalika sana ebu nihakikishie kwamba anang'oka with reference to other polling stations. Kila nikisikia kuna jimbo CCM inapoteza nazidi kusisimka kwa furaha, yaani leo sibanduki kwenye internet.
 
WERA WERAAAAAAAAAAAA! Ngoma inogile, hapa nimetoka kumfukuza mtu bungeni na pia kumvukuza mtu kazi kama vile alivotishia kunifukuza kazi kama.

Inatia raha saaaaaaaaana hasa kuona hapa Gonja, vijana wamejitokeza kwa wingi. Kila mmoja akionyesha kukasirika ile mbaya kwa ishara ya kwenda kuuwa watu na chama chao. Haki ya nane hakuna cha sijui PATACHIMBIKA wala nini. Kwa uhakika Mpaka sasa hivi mama wa PATACHIMBIKA chaliiiii!

PEOPE'S POWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEER!
aloo evava teta ki uko..
 
mimi nampenda huyu mama kwa jinsi anavyojitutumua bungeni.nadhani anakubalika bado kwa wapiga kura wake.ATASHINDA!
 
Hana jipya ni mjanja mjanja fulani hivi; kama huamini ngoja uone atakavyomkimbia Tinga Tinga kwa vile mambo yamemharibikia huko Mtera; just another Gold -digger!!
 
We Paka na wenzio, acheni hizoo! Hebu ongeeni lugha ya taifa tuelewe wote...vose..vose..blah blah

Yeshua;

Umetukumbusha jambo la nguvu sana ..wakati huu tunapolirejesha Taifa katika misingi ya Uasisi wake...

..No Udini, No Ukabila, No ufisadi, No ... No... divisions...No No!!

hayo ndio walitaka mafisadi..tumewaona...tumewapiga chali...huko hatupo..!!

Watanzania ni watu wa Utu..Yaani Peoples Power... na Utu Ni ubinaadamu!!!

Na Utu ...ni Uungu ndani ya Mtu...Ndio maana sasa tunaimba kwa full shwangwe Mungu ibariki Tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom