Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Ushawahi kumla mbasa? na mbelele je? hao wanatokea ziwa nyasa, ni balaaMie natafuta samaki mmoja anaitwa Mbasa ..nitumieni wapenzi DHL au vyovyote
Ushawahi kumla mbasa? na mbelele je? hao wanatokea ziwa nyasa, ni balaaMie natafuta samaki mmoja anaitwa Mbasa ..nitumieni wapenzi DHL au vyovyote
charminglady tena raha ya sato umle jicho, jicho la sangara mafuta mengi!
mmhhh..
charminglady haya karibu!haya nimekupata! thnx
mbona yupo, nimemla sana znz, ana nyama kweli, lkn ladha ya kojo.
kwani samaki wote si lazima umle PANDE zote?...au mm nakoseaga?!
waguna nini Junior
BT me makazi yangu ni huku lake zone. dar mpk dec kuja kushangaa shangaa!
Mie natafuta samaki mmoja anaitwa Mbasa ..nitumieni wapenzi DHL au vyovyote
c nakushangaa we unasema huli vi.nembe
Switat athante kwa kunielewesha, ila vi.nembe huwa sili wala gogogo ila furu nakula ........
Acha maskhara? Lol mbona wanipa uchungu?
Huyu Samaki ni mtamu balaa.... Fl1 wewe ni wakulekule nini?
fo sho me cjawah kula vi.nembe!
Ruhazwe JR samaki jaman samaki nembe kumbe ni mtamu eeh,me cjawah kumla.ngoja ntajarbu kumuonja!