Samaki!!!!!!!!!!

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,250
12,868
Hope mko poa wana Chit Chat,
naomba kuuliza hivi ni kwanini samaki Sato ni ghali kuliko sangara? pamoja na sato kuwa ghali ndio samaki anayependwa na watu wengi mf. utakuta katika mahotel mengi ukiagiza samaki utaletewa samaki Sato na sio sangara.... Mara nyingi naona sangara hutumika sana for export kuliko sato... ni kwanini lakini?
 
My honey sato ana ladha nzuri (kwa siye wabongo)....halafu anapendwa na wengi ndio maana bei yake iko juu kuliko sangara...si unajua "supply na demand?"...............Sangara hana ladha nzuri kivile lakini pia ana mafuta mengi.

Umeshawahi kumla gogo au nembe? Najua furu umekula!

Nilikuwa nimesahau pia ukitaka umfaidi sato unamla upande mmoja kabisa halafu ndio unamgeuza
 
kuliko pweza?...
sato wana ladha bomba...supu makini...kwa ugali mpango mzima...hata shape yake tu akiwa kwenye sahani anavutia...kwa uelewa wangu mdogo toka ziwa la NYUMBA YA MUNGU.
 
My honey sato ana ladha nzuri (kwa siye wabongo)....halafu anapendwa na wengi ndio maana bei yake iko juu kuliko sangara...si unajua "supply na demand?"...............Sangara hana ladha nzuri kivile lakini pia ana mafuta mengi.

Umeshawahi kumla gogo au nembe? Najua furu umekula!

Nilikuwa nimesahau pia ukitaka umfaidi sato unamla upande mmoja kabisa halafu ndio unamgeuza

kwani samaki wote si lazima umle PANDE zote?...au mm nakoseaga?!
 
Hope mko poa wana Chit Chat,
naomba kuuliza hivi ni kwanini samaki Sato ni ghali kuliko sangara? pamoja na sato kuwa ghali ndio samaki anayependwa na watu wengi mf. utakuta katika mahotel mengi ukiagiza samaki utaletewa samaki Sato na sio sangara.... Mara nyingi naona sangara hutumika sana for export kuliko sato... ni kwanini lakini?
Jibu la swali lako liko ndani ya uzi wako.
 
Productivity ya Sato always low!
Ya Sangara iko high.
Kinachozalika in low format , price yake sokoni hua juu.
Kinachozalishwa kwa wingi price (market) hua chini. Kwa uchache wa Sato tha's whay hawaexpotiwi na Sangara ni kinyume chake, siku tukijaribu kuexport Sato within a year, hapatakuwepo hata mmoja.
Kwa kuliona hilo mamlaka ya nchi haijaruhusu Sato kuuzwa nje.
Tha's Law & Order
 
sato ndo mtamu....
sangara ana shombo............
halafu kama unarudi dar niletee sato.....
nitakurefund....
na zee langu Asprin atakuongezea cha juu..
 
Last edited by a moderator:
My honey sato ana ladha nzuri (kwa siye wabongo)....halafu anapendwa na wengi ndio maana bei yake iko juu kuliko sangara...si unajua "supply na demand?"...............Sangara hana ladha nzuri kivile lakini pia ana mafuta mengi.

Umeshawahi kumla gogo au nembe? Najua furu umekula!

Nilikuwa nimesahau pia ukitaka umfaidi sato unamla upande mmoja kabisa halafu ndio unamgeuza

Switat athante kwa kunielewesha, ila vi.nembe huwa sili wala gogogo ila furu nakula ........
 
Productivity ya Sato always low!
Ya Sangara iko high.
Kinachozalika in low format , price yake sokoni hua juu.
Kinachozalishwa kwa wingi price (market) hua chini. Kwa uchache wa Sato tha's whay hawaexpotiwi na Sangara ni kinyume chake, siku tukijaribu kuexport Sato within a year, hapatakuwepo hata mmoja.
Kwa kuliona hilo mamlaka ya nchi haijaruhusu Sato kuuzwa nje.
Tha's Law & Order

Asante kwa kunielewesha!
 
Back
Top Bottom