King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,798
afrodenzi,asante.nimependa hiyo ya kutoa pilipili mbegu manae wengine hupaliwa. nice one.
natamani kupata ujuzi wa grilling zaidi. kwenye oven ya jiko la gas niliweka samaki wa foil ikawaka moto,na majiko ya siku hizi hayana sehemu maalum ya grill,nifanzeje?
natamani kupata ujuzi wa grilling zaidi. kwenye oven ya jiko la gas niliweka samaki wa foil ikawaka moto,na majiko ya siku hizi hayana sehemu maalum ya grill,nifanzeje?