Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,006
- 55,186
Angalau zahanati watafuata miongozo ya matibabu na wana madaktari,ila nakushauri ndugu yangu usipeleke mtoto maabara ,wala usinunue dawa duka la dawa wale sio madaktari ni wafamasia wanaweza kujua dawa inatibu nini,ila kila ugonjwa una muongozo wake wa kutibu na huo muongozo anaujua daktari pekee.Asanteeee sana.nilikuwa na watoto nawapeleka maabala sasa ngoja niache huu utaratibu.
Vipi kuhusu hizi zahanati nazo magumashi au?