SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,384
- 892
Zitto akimsikia lema,jasho linamtoka kuanzia kichwani mpaka kwenye miguu
Nampa saluti Mh. Godbless Lema aliyepambana kuhakikisha kuwa Mwigamba anadhibitiwa wakati wa mkutano wa Chadema na laptop yake ikadukuliwa ili kuonyesha mipango ovu ya Mwigamba, Zitto na Kitila kutaka kuigeuza Chadema kutoka chama kikuu cha upinzani na mtetezi wa wananchi kuwa tawi la CCM. Mipango ya wasalitii ilikuwa na nia ya kudhoofisha harakazi za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM na kuwapatia uhuru na maendeleo ya kweli wananchi wa Tanzania.
Juhudi za Lema zimesaidia wasalitii hao kugundulika na kujiunga rasmi na CCM kupitia tawi lao la ACT. Kama isingekuwa ujasili wa Lema, leo hii Chadema ingekuwa tawi la CCM, kama ilivyo ACT. Sasa ni wajibu wa UKAWA na Chadema kupanda majukwaani kwa nguvu zote ili kuwafahamisha wananchi wengi wa Tanzania kuwa ACT ni tawi la CCM wala siyo chama cha upinzani. Itakuwa kosa kubwa ikiwa UKAWA na Chadema watachulia poa propaganda za ACT kuwa ni chama cha upinzani kumbe ni tawi la CCM. UKAWA na CHADEMA watumie nguvu ileile waliyotumia kuwaelezea wananchi kuhusu uzuri wa rasmu ya pili ya katiba ya Warioba, na ubaya wa rasmu ya CCM yaani katiba pendekezwa, kuwaeleza kuwa ACT ni CCM, na kwamba vyama vya upinzani ni Chadema na umoja wa UKAWA. Wasipofanya hivyo, upotoshaji wa ACT utaendelea na CCM watahuishwa na ACT, na inaweza kuwafanya UKAWA na Chadema kutumia nguvu kubwa zaidi baadaye kuondoa upotoshaji wa ACT kuliko kama wakifanya mikutano sasa kuwaeleza wananchi rangi halisi ya ACT- kuwa ni tawi la CCM.
Huu ndiyo uweli wenyewe, ACT ni tawi la CCM.hivi nyie wanasiasa wa bongo msitufanye sisi watoto wadogo 2010 mlisema cuf na nccr ccm b sasa
Nampa saluti Mh. Godbless Lema aliyepambana kuhakikisha kuwa Mwigamba anadhibitiwa wakati wa mkutano wa Chadema na laptop yake ikadukuliwa ili kuonyesha mipango ovu ya Mwigamba, Zitto na Kitila kutaka kuigeuza Chadema kutoka chama kikuu cha upinzani na mtetezi wa wananchi kuwa tawi la CCM. Mipango ya wasalitii ilikuwa na nia ya kudhoofisha harakazi za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM na kuwapatia uhuru na maendeleo ya kweli wananchi wa Tanzania.
Juhudi za Lema zimesaidia wasalitii hao kugundulika na kujiunga rasmi na CCM kupitia tawi lao la ACT. Kama isingekuwa ujasili wa Lema, leo hii Chadema ingekuwa tawi la CCM, kama ilivyo ACT. Sasa ni wajibu wa UKAWA na Chadema kupanda majukwaani kwa nguvu zote ili kuwafahamisha wananchi wengi wa Tanzania kuwa ACT ni tawi la CCM wala siyo chama cha upinzani. Itakuwa kosa kubwa ikiwa UKAWA na Chadema watachulia poa propaganda za ACT kuwa ni chama cha upinzani kumbe ni tawi la CCM. UKAWA na CHADEMA watumie nguvu ileile waliyotumia kuwaelezea wananchi kuhusu uzuri wa rasmu ya pili ya katiba ya Warioba, na ubaya wa rasmu ya CCM yaani katiba pendekezwa, kuwaeleza kuwa ACT ni CCM, na kwamba vyama vya upinzani ni Chadema na umoja wa UKAWA. Wasipofanya hivyo, upotoshaji wa ACT utaendelea na CCM watahuishwa na ACT, na inaweza kuwafanya UKAWA na Chadema kutumia nguvu kubwa zaidi baadaye kuondoa upotoshaji wa ACT kuliko kama wakifanya mikutano sasa kuwaeleza wananchi rangi halisi ya ACT- kuwa ni tawi la CCM.
Day Dreams.....!!!People are making money!MBOWE+MTEI=Manunuzi yote ya CHAMA kwa gharama kubwa!!,LISSU=Dada yake kapewa VITI MAALUMU tena kadi kapelekewa DODOMA,MTEI(Jengo la Ofisi),SLAA(Fedha ya Ubunge+fedha ya ukatibu Mkuu)!!Chadema siyo chama ni KITEGA UCHUMI cha MTEI.Watanzania watakuwa WAJINGA kama wataamua Kuchukua DHAHABU na kuwatupia NGURUWE.......!!
hivi wewe KENGE mbona unanitafutia ban kwa nguvu? kama huwezi kujadili hii mada kwa staha kwanini usiende ukojoe ukalale? tangu mlipofunga shule mnatusumbua sana humu jamvini. a notorious twit!
Lema mteule wa Mungu huyu kijana, hebu fikiria wote wangekuwa waoga, leo chadema ingekuwa demu wa CCM kabisa
Watanzania wanaotaka mabadiliko watakapomjua Zitto vizuri hakika watamuogopa kuliko ebola.
Inabidi nguvu iongezeke kuanika wazi madudu yake,kuna wachache wavivu wa kufikiri wanamuamini sana huyu mtu.Wapo radhi kulala na kushinda njaa ilimradi wamempigia domo.Hiki kinaweza chelewesha mabadiriko maana wapiga kura wengi ni watu wakawaida na ndiyo rahisi kupotezwa.
Mkuu umeyafikishia ujumbe haya majinga kwa style kali sana! Teh teh teh!Ni kweli maana hapa Dar,watu ni wajanja sana hawataki kusikia CCM wala CUF(CCM B),NCCR-Mageuzi(CCM B)Wanaipenda CHADEMA Tu na majimbo yote WAMECHUKUA maana wamejitambua kama watu wa KILIMANJARO/ARUSHA kule ambako majimbo yote ni CHADEMA.CHADEMA Oyeeeeee!Watu wa vijijini hawajui chochote mfano huko kwa WASHAMBA Kigoma majimbo yote ni CCM.
Kamanda mbona huko watu walishatoka sasa hivi watu wanatangaza Uzalendo.Nampa saluti Mh. Godbless Lema aliyepambana kuhakikisha kuwa Mwigamba anadhibitiwa wakati wa mkutano wa CHADEMA na laptop yake ikadukuliwa ili kuonyesha mipango ovu ya Mwigamba, Zitto na Kitila kutaka kuigeuza CHADEMA kutoka chama kikuu cha upinzani na mtetezi wa wananchi kuwa tawi la CCM.
Mipango ya wasalitii ilikuwa na nia ya kudhoofisha harakazi za kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM na kuwapatia uhuru na maendeleo ya kweli wananchi wa Tanzania.
Juhudi za Lema zimesaidia wasalitii hao kugundulika na kujiunga rasmi na CCM kupitia tawi lao la ACT-Wazalendo. Kama isingekuwa ujasili wa Lema, leo hii CHADEMA ingekuwa tawi la CCM, kama ilivyo ACT-Wazalendo.
Sasa ni wajibu wa UKAWA na CHADEMA kupanda majukwaani kwa nguvu zote ili kuwafahamisha wananchi wengi wa Tanzania kuwa ACT-Wazalendo ni tawi la CCM wala siyo chama cha upinzani.
Itakuwa kosa kubwa ikiwa UKAWA na Chadema watachulia poa propaganda za ACT-Wazalendo kuwa ni chama cha upinzani kumbe ni tawi la CCM.
UKAWA na CHADEMA watumie nguvu ileile waliyotumia kuwaelezea wananchi kuhusu uzuri wa rasmu ya pili ya katiba ya Warioba, na ubaya wa rasmu ya CCM yaani katiba pendekezwa, kuwaeleza kuwa ACT-Wazalendo ni CCM, na kwamba vyama vya upinzani ni CHADEMA na umoja wa UKAWA.
Wasipofanya hivyo, upotoshaji wa ACT-Wazalendo utaendelea na CCM watahuishwa na ACT-Wazalendo, na inaweza kuwafanya UKAWA na CHADEMA kutumia nguvu kubwa zaidi baadaye kuondoa upotoshaji wa ACT-Wazalendo kuliko kama wakifanya mikutano sasa kuwaeleza wananchi rangi halisi ya ACT-Wazalendokuwa ni tawi la CCM.
Watanzania wa wapi hao unawaongelea labda misukule yako ya Bavicha.Watanzania wanaotaka mabadiliko watakapomjua Zitto vizuri hakika watamuogopa kuliko ebola.
Hayo mabadiliko peleka TENGERU Hatuyataki!!Tunahitaji chama cha Siasa siyo......"Kitega Uchumi cha MTEI&Co" !!Usipoangalia na wewe hapa kwenye siasa unapoganga NJAA Utarudia kazi yako ya WIZI WA MAGARI......!!
Watanzania wa wapi hao unawaongelea labda misukule yako ya Bavicha.
Siasa zako za kupanda juu ya bonnet la gari na maandamano nani anazitaka.
Naona Zitto kawafanya wote mmechanganyikiwa.
Watu wa aina yako huwa siwajibu. Basi tu leo.Kamanda mbona huko watu walishatoka sasa hivi watu wanatangaza Uzalendo.
Habari ya Mujini ni ACT - Wazalendo.
Tulia dawa ikuingie kaza meno.
Acha ukabila wewe, eti Wazalendo kumbe wasaliti mnahubiri ukabila. Yuda Eskarioti ninyi.Lema anategemea kura za wachagga wenzie Arusha, Hakuna Mwana Arusha mwenye akili timamu anaeweza kumpigia kura lema
Ninyi CCM mnahangaika bure, mmempata msalitii Zitto ambaye mlimtuma aibadiishe Chadema kuwa tawi la CCM lakini mbio za sakafuni huishia ukingoni.Watanzania wa wapi hao unawaongelea labda misukule yako ya Bavicha.
Siasa zako za kupanda juu ya bonnet la gari na maandamano nani anazitaka.
Naona Zitto kawafanya wote mmechanganyikiwa.
Acha umbea. Hawa ni injini ya Chadema na UKAWANasikia huyo jamaa yako Lema na Tundu la Singida hawasalimiani kabisa manake wote ni Mr misifa.