Imekaa vizuri...Wadau, hii imekaaje?
Hiizo saluni nyingi ziko Huku Kinondoni...nadhani tunepa hoja ya msingi kwamba unaanzaanzaje............ni kitu kipya kwa utamaduni wetu.....naweza kuelewa mtu kwenda kwa Daktari lakini si kwa kunyoa jameni...............dah hata kama ni mwanaume kwa mwanamume yaani unampa **********yako akunyoe??????duh.................any way wenye imani ya Tomaso yaani hadi mpapase jaribuni mtujuze...............
aiseeeee....
shosti....hhaha trust wewe mwenyewe hutaweza kufanya...nilishawahi kujaribu mwenyewe nusu nijikojolee....yeah unaweza kumpa my husband wako akufanyie kama unayo ile wax kit yenyewe......ila kumbuka lazima awe sharp ikikugandia kasheshe unayo......
Rafiki yangu wa karibu kanihabarisha kuwa "Mamaaa" yaani My Wife Wake Wiki 3 zilizopita alienda kupata huduma za kawaida Saloon kubwa na ya kisasa ya kina mama katikati ya jiji. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kulikuwa na huduma ya ziada.
Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele zote zinatoka na kukufanya "Kwa Bibi" kuwe kipara kabisa. Pia akanihabarisha kuwa Mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya wembe.
Nilibaki najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.
Wadau, hii imekaaje?
Kelly;
Jamani acheni utani. Mbona mpaka kule kwenye "Vimashavu" huwa zinaota? Sasa zitanyolewaje kule bila kumchanulia? LOL
hapo pagumu nakwambiaNapendekeza,wanaume wanyolewe wanawake,na wanawake wanyolewe na wanaume,ingependeza zaidi.
Rafiki yangu wa karibu kanihabarisha kuwa "Mamaaa" yaani My Wife Wake Wiki 3 zilizopita alienda kupata huduma za kawaida Saloon kubwa na ya kisasa ya kina mama katikati ya jiji. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kulikuwa na huduma ya ziada.
Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele zote zinatoka na kukufanya "Kwa Bibi" kuwe kipara kabisa. Pia akanihabarisha kuwa Mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya wembe.
Nilibaki najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.
Wadau, hii imekaaje?