britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Ifike hatua sisi wana CHADEMA tuache unafiki,
Tumeona mkipigana tundu lisu atoke ndani kwa kujitokeza na kuja na mawakili na mavitabu, lakin huyu kabaguliwa, sijui dini, au kabila au ukanda? Kwakweli wengi hatujapenda na inavunja moyo kwa wana harakati, Huyo anajulikana mmempotezea ,vip nkikamatwa mimi, mi nasema sasa basi
Sasa mi na CHADEMA baas,
Tumeona mkipigana tundu lisu atoke ndani kwa kujitokeza na kuja na mawakili na mavitabu, lakin huyu kabaguliwa, sijui dini, au kabila au ukanda? Kwakweli wengi hatujapenda na inavunja moyo kwa wana harakati, Huyo anajulikana mmempotezea ,vip nkikamatwa mimi, mi nasema sasa basi
Sasa mi na CHADEMA baas,