Salma Kikwete Cheo chake ni kipi kikatiba?

katika awamu zote za urais huyu mama anatia fora na kule lindi mjini Burhani hana chake 2015
 
kipindi cha kampeni alipiga sana kampeni kwa hiyo naye amekuwa rais wa akina mama na riziwani naye ni raisi wa watoto kwa nchi hii
 
Ameenda kama Mwenyekiti wa WAMA, hao walioenda kumpokea ni kiherehere chao, na kama wametumia rasilimali za serikali wanaweza kuchukuliwa hatua (lakini wachukuliwe na nani?)

nani awachukulie hatua! Upoteza kitumbua chako! bembeleza kafiri upate mradi wako. Mpe shikamoo mbwa wa mfalme akuruhusu uvuke mto!
 
Anasomewa taarifa na mkuu wa mkoa? That is ridiculous, mkuu wa mkoa anamsomea salma taarifa zinazohusu nini
Yeah, amesomewa taarifa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya, na taarifa hiyo iliyokuwa na title hii: "Taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa Mh. Salma Kikwete (MNEC), mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) katika ziara yake Mkoani Rukwa 25 - 27 February, 2013".
Source: Raia Mwema la leo Februari 27, 2013 ukurasa wa 9.
 
Wanajf, bado nashangaa kuhusu yanayotokea mke wa JK ana cheo gani kikatiba? Maana sasa watz tunafanywa kama misukule, hii mijitu inavunja katiba ya nchi wazi wazi na haiogopi. Mke wa rais, kiutaratibu hatambuliki na hivyo ni kama raia mwingine, hapaswi kupata priveldges kama rais, labda katika utawala wa kifalme. wataalam hebu tuwekeni sawa

First lady.......ila itv wanamwita mheshimiwa, walimwita juzi kwenye taarifa ya habari!!
 
Huu wa salma ni uzumbukuku na kebehi kubwa kwa katiba, salma kikwete hajawahi kutokea kwenye ballot paper Hana mamlaka ya kupewa taarifa za serikali hajala kiapo cha utii na hayuko vetted mahali popote
 
Nilipata shida mno juu ya hoja hii ilioletwa hapa ukutani. Baya zaidi, kule kupewa kwake RIPOTI ZA KISERIKALI ZA MIKOA ALIYOTEMBELEA; Katiba ya nchi inasemaje hasa maana kuna mambo mengine bana yakikaliwa kimya baada ya muda hujenga mazoea nje ya maelekezo ya katiba ya nchi na utawala wa sheria.
 
Anasomewa taarifa na mkuu wa mkoa? That is ridiculous, mkuu wa mkoa anamsomea salma taarifa zinazohusu nini? kama ni ya kweli haya basi watanzania tukubali kwamba sisi ni mazuzu kupitiliza. Kwa style hii, na Ridhiwani naye atakwenda mikoani na kupolekewa na wakuu wa mikoa na kusomewa taarifa za maendeleo za mikoa.

Haya yanatokea kwenye utawala wa Kikwete tu, sina uhakika kama yaliwahi kutokea kabla. Kama utawala wa Nyerere hatukumsikia kabisa mama Maria Nyerere hadi pale alipofariki Nyerere ndipo tulianza kumsikia Maria, ni kwa vipi utawala huu umejaa mama Salma all over, halafu anapokelewa na viongozi wa serikali? Inakera sana.

Na hapo watu mnalalamika ni kwanini nchi inaendelea kuwa na madeni ilihali kinachofanyika hakionekani. Hivi hela ya mama Salma kuzunguka mikoani imetoka wapi kama siyo hiyo mikopo inayoongezeka usiku na mchana? Maana tunajua bajeti ya Ikulu haipitishwi na bunge, so ni wazi kwamba Kikwete anaweza kukopa tu huko na kuja kujipangia bajeti bila kuipitisha bungeni.

Mbona hatujawahi kusikia bunge likipitisha hiyo mikopo?

Lukolo mbona ni ya kweli na kwa sasa yupo Katavi huko mwenyeji wake ni Fundi Stella Manyanya!
 
Hivi ni mke yupi? Mwalimu,mwanamke na maendeleo, mamake riz au ,,,,,,. Maana wako wengi , tafadhali fafanua ni yupi!
 
Hiyo nimeipenda lakini ndio siasa za Tanzania kama baadhi ya wadau walivyosema tanzania babako akiwa waziri nawe unakuwa nusu waziri sasa mume akiwa raisi au waziri na mama naye anakuwa raisi
 
alianza taratibu before 2010, mara tukamuona anamfanyia kampeni mumewe kwa kutumia magari ya serikali na ndege ya serikali! mara kaingia kwenye nec ya ccm, sasa anafanya ziara za kiserikali na anawakalisha kitimoto wakuu wa mikoa na kamati za ulinzi na usalama mikoani! mara tutamsikia ni mgombea kapitishwa kuwa mgombea mwenza! sina tatizo kama akiwa amepambana kufikia hayo madaraka na kama ikithibitika anazo sifa! ila kinachotia kichefuchefu ni hii hali ya kupelekana kizobazoba!
 
Anasomewa taarifa na mkuu wa mkoa? That is ridiculous, mkuu wa mkoa anamsomea salma taarifa zinazohusu nini? kama ni ya kweli haya basi watanzania tukubali kwamba sisi ni mazuzu kupitiliza. Kwa style hii, na Ridhiwani naye atakwenda mikoani na kupolekewa na wakuu wa mikoa na kusomewa taarifa za maendeleo za mikoa.

Haya yanatokea kwenye utawala wa Kikwete tu, sina uhakika kama yaliwahi kutokea kabla. Kama utawala wa Nyerere hatukumsikia kabisa mama Maria Nyerere hadi pale alipofariki Nyerere ndipo tulianza kumsikia Maria, ni kwa vipi utawala huu umejaa mama Salma all over, halafu anapokelewa na viongozi wa serikali? Inakera sana.

Na hapo watu mnalalamika ni kwanini nchi inaendelea kuwa na madeni ilihali kinachofanyika hakionekani. Hivi hela ya mama Salma kuzunguka mikoani imetoka wapi kama siyo hiyo mikopo inayoongezeka usiku na mchana? Maana tunajua bajeti ya Ikulu haipitishwi na bunge, so ni wazi kwamba Kikwete anaweza kukopa tu huko na kuja kujipangia bajeti bila kuipitisha bungeni.

Mbona hatujawahi kusikia bunge likipitisha hiyo mikopo?
Ndugu yangu Lukolo,
Hivi kweli umesahau Purkushani za Mama Siti Mwinyi? Halafu sijui hawa "WENZETU" vipi....!
Pia Utapaswa ukumbuke Kikwete mwenyewe alisema Urais Ni wa Familia..unakumbuka? Ndio maana tunayaona haya.
Ngoja tuipate tena. Na tusipo kaa sawa tutapigwa bao milele na milele, AMINA.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta Gazet la Raia Mwema la leo linamajibu mazuri sana ( SALMA KIKWETE NI MAKAMO WA RAIS)..
 
Wanajf, bado nashangaa kuhusu yanayotokea mke wa JK ana cheo gani kikatiba? Maana sasa watz tunafanywa kama misukule, hii mijitu inavunja katiba ya nchi wazi wazi na haiogopi. Mke wa rais, kiutaratibu hatambuliki na hivyo ni kama raia mwingine, hapaswi kupata priveldges kama rais, labda katika utawala wa kifalme. wataalam hebu tuwekeni sawa
Mkuu kama hufahamu mke wa rais kwa kiingereza cheo chake ni 'First lady'. Hicho ni cheo rasmi kwenye serikali, kwa hivyo usiumie roho ukimuona kwenye shughuli hapa na pale.
 
Wanajf, bado nashangaa kuhusu yanayotokea mke wa JK ana cheo gani kikatiba? Maana sasa watz tunafanywa kama misukule, hii mijitu inavunja katiba ya nchi wazi wazi na haiogopi. Mke wa rais, kiutaratibu hatambuliki na hivyo ni kama raia mwingine, hapaswi kupata priveldges kama rais, labda katika utawala wa kifalme. wataalam hebu tuwekeni sawa

Umesahu ya kuwa mke na hata watoto wa dictator nao dictators!
 
This is a very KEEN observation of the lady from the first family.

alianza taratibu before 2010, mara tukamuona anamfanyia kampeni mumewe kwa kutumia magari ya serikali na ndege ya serikali! mara kaingia kwenye nec ya ccm, sasa anafanya ziara za kiserikali na anawakalisha kitimoto wakuu wa mikoa na kamati za ulinzi na usalama mikoani! mara tutamsikia ni mgombea kapitishwa kuwa mgombea mwenza! sina tatizo kama akiwa amepambana kufikia hayo madaraka na kama ikithibitika anazo sifa! ila kinachotia kichefuchefu ni hii hali ya kupelekana kizobazoba!
 



kama hujui nafasi ya mke wa rais kikatiba nakushauri rudi shule or do your self a favor kaisome katiba...! katiba hujaisoma unadai waendeshwa kama msukule ... watu bana ...

wewe njiwa siunaijua?tunaomba utufafanulie sisi tusioijua.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom